Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha.Akhsante Ndugu nimeikamata Kweli kwa hii Idhaa uliyonitajia Ubarikiwe. Haya Saint Ivuga niombe Radhi upesi kwa Kuniingiza chaka baya tafadhali.
Ahahaha.
Daaah mkuu nisamehe . Nilikosea ku edit tu ndugu yangu
Popoma kabsa kabsaYako Wewe ilianzia wapi?
Hizo ni frequency au mawimbi mkuu,swali limeuliza kuhusu idhaa.89.9 dsm
Haya idhaa ya bbcHizo ni frequency au mawimbi mkuu,swali limeuliza kuhusu idhaa.
88.9 Dsm89.9 dsm
ndiyo ipo fungulia 94.5Arusha wasafi fm ipo?
Edo ni mzuri sana sana kwenye kuandika makala
Lakini kwenye uchambuzi wa kila siku ni wa kawaida sana
Kuna George ambangile mkuu yupo vizuri Sana.Kweli kabisa.
Wachambuzi wa Bongo wanafeli zaidi kwenye kutaka data ziwafuate badala watafute.
Kingine ni ushabiki wanaoweka hadharani wakati wa uchambuzi. Yaani akina Shafi bure kabisa.
Mchambuzi Bongo ni mmoja tu.
Dokta.
Kuna George ambangile mkuu yupo vizuri Sana.
Ebu mfuatilie yupo Hapo wasafi kwenye kipindi Cha sports Arena alafu nipe mrejesho ukishamfuatilia na kumsikia akichambua alafu kumbuka kunitag utajuta kupoteza muda wako kumsikiliza akichambua huyo mwamba.Huyo simpati
Edo nilikuwa nasoma makala zake sana, anaandika vizuri lakini kwenye uchambuzi wa mdomo bado sana kwa kweli.
Yaani akichambua kidogo tu lazima aingizie Arsenal ya kina Viera.
Kwangu Ambangile ni bora sana