Habari zenu wadau
Mie kwa upande wangu nafikiri huyu dada ake diamond hana kipaji cha kuimba labda anacho cha kucheza uchi instagram.. kiufupi wasafi waache kufanya kazi kiundungu huyu dada hajui kuimba anatoa boko tu. Yani wanapoteza hela mingi kuwekeza kwenye mziki wa huyu dada.. ni bora wangewekeza 100 kwa ruby, vanesa au mwasiti
Mie kwa upande wangu nafikiri huyu dada ake diamond hana kipaji cha kuimba labda anacho cha kucheza uchi instagram.. kiufupi wasafi waache kufanya kazi kiundungu huyu dada hajui kuimba anatoa boko tu. Yani wanapoteza hela mingi kuwekeza kwenye mziki wa huyu dada.. ni bora wangewekeza 100 kwa ruby, vanesa au mwasiti