Wasafi wanapoteza hela kuwekeza kwa Queen darlin

Wasafi wanapoteza hela kuwekeza kwa Queen darlin

Kupiga collabo na jason siyo mafanikio kihivyo collabo nyingine unapiga lakini Marrkani hutusui.
Kwa upande wangu nilitegemea nyimbo nzuri zaidi toka kwa rayvany ila design naona melody na beat zake zinataka kufanana.
May be sikio langu bovu
Hapo umeongea kk anatakiwa abadl ladha kidogo. Ila hata beat anazopgiwa ni za taratibu
 
Kwa ruby nakubali sana wangewekeza kwake,akapata colobo mbili tatu na wasanii wakubwa then video zikapata kiwango kiukwel ingewalipa zaid kulko hyo mvaaa..
.....
Tatizo ruby ana majivuno na kiburi
 
Jamani sasa afanyeje inabidi tu ambebe. Si wakumbuka alitangaza anatafuta Bwana amuoe maana wanaume wanampita tu ........akijitokeza mmoja tu nakwambia anaacha kuimba.
 
Kuna wimbo umetoka WCB chorus "Ukiniona leo sipo kama jana,kesho unikumbushe" sijui nani kaimba
 
Mbona mwenzake Ali Kiba dadaake Mwajuma aimbi?
 
Back
Top Bottom