kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
HELA UNATOA WEWEHabari zenu wadau
Mie kwa upande wangu nafikiri huyu dada ake diamond hana kipaji cha kuimba labda anacho cha kucheza uchi instagram.. kiufupi wasafi waache kufanya kazi kiundungu huyu dada hajui kuimba anatoa boko tu. Yani wanapoteza hela mingi kuwekeza kwenye mziki wa huyu dada.. ni bora wangewekeza 100 kwa ruby, vanesa au mwasiti
Mbona queen Darleen yupo fresh tu, mi binafsi namkubali ila siku za karibuni kaanza mavazi flani hayampendezi kwakweli
Anaunga unga mkono uende kinywani tehNyimbo zake hazivutii sana,zinawahi kuchuja,,mavazi anayovaa nayo yanamshusha
DuhHELA UNATOA WEWE
[emoji14] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ndioKiboko huyu huyu wa mwituni??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama kibokoUvaaji wake kwakweli unaharibu, dah hivi kabla mtu hujavaa kwanini usijiangalie ulivyo umbo na mwonekano.
Nampenda ila huo wimbo alivovaa hapana asee katokezea kama kiboko
Ndio maana hua hatongozwi aisee mbaya mno huyu dada ,angeumbwa mwanaume tu
khaaa jamani hatongozwi vipi wakati ana MtotoNdio maana hua hatongozwi aisee mbaya mno huyu dada ,angeumbwa mwanaume tu
Nan kafanya makubwa zaidi ya diamond? Rayvanny amebeba bet, amepga collabo na Jason derulo... Na akashauriwa atumie kiingereza atusue kimataifaMimi siku hizi naona wasafi wote wanaimba nyimbo za kawaida eti..
Hata rayvany nilikuwa natarajii makubwa toka kwake labda nimezoea ila naona kama ile hamsha hamsha inapotea
Chuki binafsi... Unaibiwa, Salome hana melody?yaani bora Queen darlin kuliko Rayvany. Natamani sana kusikia Rayvany ni mwandishi tu, maana kuimba hana melody yaan ukitoa kwetu jamaa hana melody tena hii inapelekea laizer kupiga beat za katitu na kijaluo kwenye nyimbo za rayvany. Laizer ni mzuri ila Rayvany ndio anamharibia mbona mond na harmonize wanapigiwa beat kali.
Kupiga collabo na jason siyo mafanikio kihivyo collabo nyingine unapiga lakini Marrkani hutusui.Nan kafanya makubwa zaidi ya diamond? Rayvanny amebeba bet, amepga collabo na Jason derulo... Na akashauriwa atumie kiingereza atusue kimataifa
Jamaa anashuka.. tunzo ya bet kwa upande wangu hakustahili.. sio.msanii mkali kama alivyo hermonizeKupiga collabo na jason siyo mafanikio kihivyo collabo nyingine unapiga lakini Marrkani hutusui.
Kwa upande wangu nilitegemea nyimbo nzuri zaidi toka kwa rayvany ila design naona melody na beat zake zinataka kufanana.
May be sikio langu bovu