Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Hapo umeongea kk anatakiwa abadl ladha kidogo. Ila hata beat anazopgiwa ni za taratibuKupiga collabo na jason siyo mafanikio kihivyo collabo nyingine unapiga lakini Marrkani hutusui.
Kwa upande wangu nilitegemea nyimbo nzuri zaidi toka kwa rayvany ila design naona melody na beat zake zinataka kufanana.
May be sikio langu bovu
Tatizo ruby ana majivuno na kiburiKwa ruby nakubali sana wangewekeza kwake,akapata colobo mbili tatu na wasanii wakubwa then video zikapata kiwango kiukwel ingewalipa zaid kulko hyo mvaaa..
.....
Bahati wa Kenya ft RayvannyKuna wimbo umetoka WCB chorus "Ukiniona leo sipo kama jana,kesho unikumbushe" sijui nani kaimba