WASAFI ya Diamond Platnumz wamemtupia virago Paul Makonda?

WASAFI ya Diamond Platnumz wamemtupia virago Paul Makonda?

Huyu ndugu alikuwa na vyeo vingi pale, ametupiwa virago? Hasikiki tena, Kuna wakati walimuimba eti ni baba yao
Walikuwa wanamvumilia tu. We hadi uchebe anaalikwa baba mlezi haalikwi.
Mako ndo anajua wengi walikuwa wanamwogopa na hawakuwa na jinsi, we kwa kiburi cha Salam unadhani anaweza mvumilia Mako katika hali ya akwaida
 
LABDA HANA JAMBO LA KUFANYA AALIKWE, MUDA BADO UPO TUSUBIRI
 
Wabongo hulka yao ukiwa nacho/nafasi/pesa watu watakupakatia

Ukiondoka/ukifikisika sasa huwaoni

Ova
 
Wabongo hulka yao ukiwa nacho/nafasi/pesa watu watakupakatia

Ukiondoka/ukifikisika sasa huwaoni

Ova
Hii si kwa wabongo tu... ipo dunia nzima... Hata wewe upo hivyo..!! Sasa wakufuate wa nini? We ukitaka asali si unaenda uliko mzinga wa nyuki..!!!???? Kuna ukweli hatutaki tu kuukubali... KWAMBA MKONO MTUPU HAULAMBWI... NIKIHITAJI KITU FULANI NAKWENDA KINAKOPATIKANA... We mtu muislamu unahitaji kuswali, UTAENDAJE KANISANI HALAFU UTEGEMEE UKUTE WANASWALI..??? Huko utayakuta mapambio
 
Back
Top Bottom