No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,785
Kila siku watu tunasafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Safari zingine ni ndefu, kuna mambo mengi yanatokea unatamani kushare na wana JF wenzako.
Tukutane hapa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa safari. Nipo ndani ya basi natoka Mwanza kuelekea Dar, hapa kuna abiria wanagombania siti konda ameshachemka nahisi kuna mmoja atashushwa muda si mrefu.
Ah! Inaboa sana.
Tukutane hapa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa safari. Nipo ndani ya basi natoka Mwanza kuelekea Dar, hapa kuna abiria wanagombania siti konda ameshachemka nahisi kuna mmoja atashushwa muda si mrefu.
Ah! Inaboa sana.