Sio lazima lifike Tabora... bali sehemu yoyote ya karibu wanayoweza kupata msaada. Ni ushauri tu maana sijui jiografia ya maeneo hayoKama ametoka Mbeya arudi Mbeya na hapo lilipo ni karibu na Tabora?
Habari zilizonifikia ni kwamba kuna abiria wamekwama hapo porini tangu juzi. Ni porini ambapo hakuna duka, hakuna huduma za mpesa, hakuna hoteli wala huduma ya chakula, hakuna huduma ya afya hata duka la dawa, hakuna maji salama, hakuna hata kijiji kinachoweza kutoa msaada kwa hawa binadamu.
Ingekuwa madiwani au ishu za kwa kiki sawa.Wamege kutoka kwenye ile 1.5 trillion wakawasaidie ndugu zetu
Reverses kwenda wap nyuma moto mbele motoGari haina reverse ?
WASAIDIE KWANI WAO NDIO WAMELETA MAFURIKO??
Sio lazima lifike Tabora... bali sehemu yoyote ya karibu wanayoweza kupata msaada. Ni ushauri tu maana sijui jiografia ya maeneo hayo
Duh kumbe jirani tu Sio Mbali View attachment 749605
Bado unakuwa haujatatua tatizo kuna wasafiri wengine hawana hela ya ziada mtu amekata tiketi anaenda kwao halafu anarudishwa ugenini ambako hana jamaa wala ndugu.Ndio najiuliza kwanini lisifanyike hili???
Duh kumbe jirani tu Sio Mbali View attachment 749605
Bado unakuwa haujatatua tatizo. Kuna wasafiri wengine hawana hela ya ziada. Mtu amekata tiketi anaenda kwao halafu anarudishwa ugenini ambako hana jamaa wala ndugu.
Bora nusu shari kuliko shari kamili. Bora upate msaada wa binadamu mwenzio usiyemjua kuliko kugeuzwa asusa na fisi mwenye njaa kaliBado unakuwa haujatatua tatizo. Kuna wasafiri wengine hawana hela ya ziada. Mtu amekata tiketi anaenda kwao halafu anarudishwa ugenini ambako hana jamaa wala ndugu.
AiseeeGari haina reverse ?
Bora nusu shari kuliko shari kamili. Bora upate msaada wa binadamu mwenzio usiyemjua kuliko kugeuzwa asusa na fisi mwenye njaa kali
Nlitegemea hao waliopelekwa na silaha wangepelekwa na vyakula vya misaada, maji na madawa. Na usafiri uliowafikisha hao washika silaha ndo ungewabeba hao waliokwama.Serikali ililpeleka askari wenye silaha kwa ajili ya usalama. TUNAOMBA UHAI SASA WA HAWA WATU!.
Hekima,Umoja na Amani hizi ni ngao zetu....Bado unakuwa haujatatua tatizo. Kuna wasafiri wengine hawana hela ya ziada. Mtu amekata tiketi anaenda kwao halafu anarudishwa ugenini ambako hana jamaa wala ndugu.
TUNAOMBA CHOMBO CHOCHOTE CHENYE WEPESI, KIPELEKE HARAKA CHAKULA KAMA MIKATE WHITE AND BROWN, BISCUITS ZA SUKARI NA ZISIZO NA SUKARI, JUICE ZA SUKARI NA ZISIZO, MAJI YA KUNYWA, HUDUMA YA KWANZA, DAWA ZA KUZUIA KUUMWA NA MBU, HATA MABLANKETI YA KUJIFUNIKA USIKU UKIZINGATIA PIA NJIA HIYO HUWA NA TSETSE FLIES.