Tetesi: Wasafiri wamekwama porini kwa siku tatu, wanahitaji msaada wa haraka

Tetesi: Wasafiri wamekwama porini kwa siku tatu, wanahitaji msaada wa haraka

Hekima,Umoja na Amani hizi ni ngao zetu....
Hapa ndo pa kuonesha huo umoja wetu,aliye kwenye hiyo hali asaidiwe na mwenyeji yeyote,natumaini kuna ambao Mbeya ndo nyumbani.
Kweli mkuu ila miongoni wapo wageni. Ni bora kukaa eneo la tukio walau unaweza kusaidiwa kirahisi kuliko kurudishwa mjini kusikokuwa na jamaa vinginevyo kama ni mwanaume unaweza kuolewa.
 
Ndugu zangu, niaandika habari hii kwa uchungu nikiomba, kwa yeyeote atakayeisoma, afikishe habari hizi kwa wahusika ili hatua za haraka za uokozi zichukuliwe.

Kuna habari kwamba barabara inayotoka Chunya kwenda Manyoni imekatika NA WASAFIRI WAMEKWAMA HAPO PORINI MAENEO YA IPOLE KWA SIKU TATU SASA.

WITO WANGU NINAOMBA SANA SERIKALI IOKOE HAWA BINADAMU. PAMOJA NA KUWAPELEKEA ASKARI WENYE SILAHA (JAMBO AMBALO NI JEMA), WAWAPELEKEE HARAKA HUDUMA ZA KIBINADAMU. HAWA WATU WATAKUFA PORINI.

TUNAOMBA CHOMBO CHOCHOTE CHENYE WEPESI, KIPELEKE HARAKA CHAKULA KAMA MIKATE WHITE AND BROWN, BISCUITS ZA SUKARI NA ZISIZO NA SUKARI, JUICE ZA SUKARI NA ZISIZO, MAJI YA KUNYWA, HUDUMA YA KWANZA, DAWA ZA KUZUIA KUUMWA NA MBU, HATA MABLANKETI YA KUJIFUNIKA USIKU UKIZINGATIA PIA NJIA HIYO HUWA NA TSETSE FLIES.

OMBI LINGINE, KWA JINSI HALI YA MIUONDO MBINU ILIVYO KWA SASA, SERIKALI IFANYE JUHUDI ZA HARAKA ZA KUTOA TAARIFA MAPEMA PALE KUNAPOKUWA NA BARABARA HAIPITIKI ILI WATU WASIENDE KUKWAMA MAPORINI NA KUHATARISHA MAISHA. HII PIA ITASAIDIA WATU KUPANGA ROUTE SAHIHI ZA KUFIKA WANAKOTAKA KWENDA.

Habari nilizozipata ni kwamba daraja limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na hivyo hakuna uwezekano wa gari kupita ama kutoka Manyoni kwenda Chunya, ama kutoka chunya kwenda Manyoni.

Habari zilizonifikia ni kwamba kuna abiria wamekwama hapo porini tangu juzi. Ni porini ambapo hakuna duka, hakuna huduma za mpesa, hakuna hoteli wala huduma ya chakula, hakuna huduma ya afya hata duka la dawa, hakuna maji salama, hakuna hata kijiji kinachoweza kutoa msaada kwa hawa binadamu.

Nmeambiwa kwamba serikali ya mkoa wa tabora walikwenda ku survey eneo la tukio. Wakati wanajiandaa kujenga daraja, ama kufanya utaratibu wa kuwezesha mahala pale papitike, wamepeleka askari kulinda usalama. Hili ni jema, lakini naomba sana uhai wa hao binadamu uangaliwe.
Gari ligeuze lirudi lilikotoka au hakuna pa kugeuzia?
 
Hao abiria hawana simu?hawana ndugu wa kuwapigia ili wawasaidie kutoa taarifa kunako husika?wamiliki wa mabasi yaliokwama huko kwanini hawatoi taarifa za kuomba msaada wa kunusuru mabasi yao na abiria wao au wameamua kuyatelekeza?kama hii taarifa ni ya kweli basi kutakuwa kuna uzembe mkubwa sana hasa kwa mamlaka zinazohusika na utoaji wa misaada ya dharura kama watakuwa wamepata taarifa...
 
Gari ligeuze lirudi lilikotoka au hakuna pa kugeuzia?
Mwenye gari anawaza mafuta aliyotumia na atakayotumia kuwarudisha atalipa nani maana kwa sheria za Sumatra abiria hawakufikishwa wanakokwenda nauli wanarejeshewa.
 
Ndugu zangu, niaandika habari hii kwa uchungu nikiomba, kwa yeyeote atakayeisoma, afikishe habari hizi kwa wahusika ili hatua za haraka za uokozi zichukuliwe.

Kuna habari kwamba barabara inayotoka Chunya kwenda Manyoni imekatika NA WASAFIRI WAMEKWAMA HAPO PORINI MAENEO YA IPOLE KWA SIKU TATU SASA.

WITO WANGU NINAOMBA SANA SERIKALI IOKOE HAWA BINADAMU. PAMOJA NA KUWAPELEKEA ASKARI WENYE SILAHA (JAMBO AMBALO NI JEMA), WAWAPELEKEE HARAKA HUDUMA ZA KIBINADAMU. HAWA WATU WATAKUFA PORINI.

TUNAOMBA CHOMBO CHOCHOTE CHENYE WEPESI, KIPELEKE HARAKA CHAKULA KAMA MIKATE WHITE AND BROWN, BISCUITS ZA SUKARI NA ZISIZO NA SUKARI, JUICE ZA SUKARI NA ZISIZO, MAJI YA KUNYWA, HUDUMA YA KWANZA, DAWA ZA KUZUIA KUUMWA NA MBU, HATA MABLANKETI YA KUJIFUNIKA USIKU UKIZINGATIA PIA NJIA HIYO HUWA NA TSETSE FLIES.

OMBI LINGINE, KWA JINSI HALI YA MIUONDO MBINU ILIVYO KWA SASA, SERIKALI IFANYE JUHUDI ZA HARAKA ZA KUTOA TAARIFA MAPEMA PALE KUNAPOKUWA NA BARABARA HAIPITIKI ILI WATU WASIENDE KUKWAMA MAPORINI NA KUHATARISHA MAISHA. HII PIA ITASAIDIA WATU KUPANGA ROUTE SAHIHI ZA KUFIKA WANAKOTAKA KWENDA.

Habari nilizozipata ni kwamba daraja limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na hivyo hakuna uwezekano wa gari kupita ama kutoka Manyoni kwenda Chunya, ama kutoka chunya kwenda Manyoni.

Habari zilizonifikia ni kwamba kuna abiria wamekwama hapo porini tangu juzi. Ni porini ambapo hakuna duka, hakuna huduma za mpesa, hakuna hoteli wala huduma ya chakula, hakuna huduma ya afya hata duka la dawa, hakuna maji salama, hakuna hata kijiji kinachoweza kutoa msaada kwa hawa binadamu.

Nmeambiwa kwamba serikali ya mkoa wa tabora walikwenda ku survey eneo la tukio. Wakati wanajiandaa kujenga daraja, ama kufanya utaratibu wa kuwezesha mahala pale papitike, wamepeleka askari kulinda usalama. Hili ni jema, lakini naomba sana uhai wa hao binadamu uangaliwe.
je hawawezi kurudi walipotoka kama wanakoenda hakuendeki. Nyoosha maelezo
 
Ndugu zangu, niaandika habari hii kwa uchungu nikiomba, kwa yeyeote atakayeisoma, afikishe habari hizi kwa wahusika ili hatua za haraka za uokozi zichukuliwe.

Kuna habari kwamba barabara inayotoka Chunya kwenda Manyoni imekatika NA WASAFIRI WAMEKWAMA HAPO PORINI MAENEO YA IPOLE KWA SIKU TATU SASA.

WITO WANGU NINAOMBA SANA SERIKALI IOKOE HAWA BINADAMU. PAMOJA NA KUWAPELEKEA ASKARI WENYE SILAHA (JAMBO AMBALO NI JEMA), WAWAPELEKEE HARAKA HUDUMA ZA KIBINADAMU. HAWA WATU WATAKUFA PORINI.

TUNAOMBA CHOMBO CHOCHOTE CHENYE WEPESI, KIPELEKE HARAKA CHAKULA KAMA MIKATE WHITE AND BROWN, BISCUITS ZA SUKARI NA ZISIZO NA SUKARI, JUICE ZA SUKARI NA ZISIZO, MAJI YA KUNYWA, HUDUMA YA KWANZA, DAWA ZA KUZUIA KUUMWA NA MBU, HATA MABLANKETI YA KUJIFUNIKA USIKU UKIZINGATIA PIA NJIA HIYO HUWA NA TSETSE FLIES.

OMBI LINGINE, KWA JINSI HALI YA MIUONDO MBINU ILIVYO KWA SASA, SERIKALI IFANYE JUHUDI ZA HARAKA ZA KUTOA TAARIFA MAPEMA PALE KUNAPOKUWA NA BARABARA HAIPITIKI ILI WATU WASIENDE KUKWAMA MAPORINI NA KUHATARISHA MAISHA. HII PIA ITASAIDIA WATU KUPANGA ROUTE SAHIHI ZA KUFIKA WANAKOTAKA KWENDA.

Habari nilizozipata ni kwamba daraja limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na hivyo hakuna uwezekano wa gari kupita ama kutoka Manyoni kwenda Chunya, ama kutoka chunya kwenda Manyoni.

Habari zilizonifikia ni kwamba kuna abiria wamekwama hapo porini tangu juzi. Ni porini ambapo hakuna duka, hakuna huduma za mpesa, hakuna hoteli wala huduma ya chakula, hakuna huduma ya afya hata duka la dawa, hakuna maji salama, hakuna hata kijiji kinachoweza kutoa msaada kwa hawa binadamu.

Nmeambiwa kwamba serikali ya mkoa wa tabora walikwenda ku survey eneo la tukio. Wakati wanajiandaa kujenga daraja, ama kufanya utaratibu wa kuwezesha mahala pale papitike, wamepeleka askari kulinda usalama. Hili ni jema, lakini naomba sana uhai wa hao binadamu uangaliwe.
weka picha
 
Ndugu zangu, niaandika habari hii kwa uchungu nikiomba, kwa yeyeote atakayeisoma, afikishe habari hizi kwa wahusika ili hatua za haraka za uokozi zichukuliwe.

Kuna habari kwamba barabara inayotoka Chunya kwenda Manyoni imekatika NA WASAFIRI WAMEKWAMA HAPO PORINI MAENEO YA IPOLE KWA SIKU TATU SASA.

WITO WANGU NINAOMBA SANA SERIKALI IOKOE HAWA BINADAMU. PAMOJA NA KUWAPELEKEA ASKARI WENYE SILAHA (JAMBO AMBALO NI JEMA), WAWAPELEKEE HARAKA HUDUMA ZA KIBINADAMU. HAWA WATU WATAKUFA PORINI.

TUNAOMBA CHOMBO CHOCHOTE CHENYE WEPESI, KIPELEKE HARAKA CHAKULA KAMA MIKATE WHITE AND BROWN, BISCUITS ZA SUKARI NA ZISIZO NA SUKARI, JUICE ZA SUKARI NA ZISIZO, MAJI YA KUNYWA, HUDUMA YA KWANZA, DAWA ZA KUZUIA KUUMWA NA MBU, HATA MABLANKETI YA KUJIFUNIKA USIKU UKIZINGATIA PIA NJIA HIYO HUWA NA TSETSE FLIES.

OMBI LINGINE, KWA JINSI HALI YA MIUONDO MBINU ILIVYO KWA SASA, SERIKALI IFANYE JUHUDI ZA HARAKA ZA KUTOA TAARIFA MAPEMA PALE KUNAPOKUWA NA BARABARA HAIPITIKI ILI WATU WASIENDE KUKWAMA MAPORINI NA KUHATARISHA MAISHA. HII PIA ITASAIDIA WATU KUPANGA ROUTE SAHIHI ZA KUFIKA WANAKOTAKA KWENDA.

Habari nilizozipata ni kwamba daraja limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na hivyo hakuna uwezekano wa gari kupita ama kutoka Manyoni kwenda Chunya, ama kutoka chunya kwenda Manyoni.

Habari zilizonifikia ni kwamba kuna abiria wamekwama hapo porini tangu juzi. Ni porini ambapo hakuna duka, hakuna huduma za mpesa, hakuna hoteli wala huduma ya chakula, hakuna huduma ya afya hata duka la dawa, hakuna maji salama, hakuna hata kijiji kinachoweza kutoa msaada kwa hawa binadamu.

Nmeambiwa kwamba serikali ya mkoa wa tabora walikwenda ku survey eneo la tukio. Wakati wanajiandaa kujenga daraja, ama kufanya utaratibu wa kuwezesha mahala pale papitike, wamepeleka askari kulinda usalama. Hili ni jema, lakini naomba sana uhai wa hao binadamu uangaliwe.
Hii ni yalini maana niliona Habari Kama hii juzi sehemu nilijibu ili tuweze kufikisha taarifa sahihi
 
Kuna hatari yakuzaliana hapo... Kisha kesi ziletwe kwa Rais wa Dathilamu

Ndugu yangu, watu wanakufa kwa njaa na kiu, na pengine kwa maradhi halafu wewe unaleta masuala ya mizaha! Tafadhali bwana. Hapa si mahala pake.
 
je hawawezi kurudi walipotoka kama wanakoenda hakuendeki. Nyoosha maelezo

Bila matengenezo hawawezi kuenda mbele wala kurudi nyuma. Wamekwama porini. Na hakuna mtu atapenda kukaa katika hali hatarishi kama ile kama kuna suluhu.
 
Hao abiria hawana simu?hawana ndugu wa kuwapigia ili wawasaidie kutoa taarifa kunako husika?wamiliki wa mabasi yaliokwama huko kwanini hawatoi taarifa za kuomba msaada wa kunusuru mabasi yao na abiria wao au wameamua kuyatelekeza?kama hii taarifa ni ya kweli basi kutakuwa kuna uzembe mkubwa sana hasa kwa mamlaka zinazohusika na utoaji wa misaada ya dharura kama watakuwa wamepata taarifa...

Taarifa hii ni ya kweli. Madreva na abiria wao wote wako porini.
Ndugu zao ni pamoja na mimi na wewe. Nidyo sababu tunapiga yowe hapa kuhitaji msaada wa haraka.
 
Mkuu sasa kama serikali itaweza kubeba madikodiko yote hayo (meaning itatumia usafiri fulani), si bora tu itumie usafiri huo huo kuokoa watu instead...

Unajua vikosi vya uokoaji vina namna yingi ya kufanya. Wanaweza kuwatupia hivyo vifurushi kwa Helicopter wakati matengenezo ya njia yanaendelea. Hayo si madiko diko. Ni suala la kuokoa uhai wa binadamu. Wako wengi na afya zao zinatofautiana..

Si suala la mizaha hili. Na mimi huwa sina mizaha linapokuja suala la maisha ya binadamu.
 
Nlitegemea hao waliopelekwa na silaha wangepelekwa na vyakula vya misaada, maji na madawa. Na usafiri uliowafikisha hao washika silaha ndo ungewabeba hao waliokwama.

Anyway ngoja tuendelee kuwaombea.

Nilitamani iwe hivyo pia. Nilitamani viongozi wetu wawe na uelewa wa kuchambua huduma na misaada inayohitajika kulinganan na tukio. Tukio la kukwama porini linahitaji huduma ya ulinzi na afya pia. Sijui kwa kweli kwa nini hawakuliona hili.
 
Ndugu zangu, niaandika habari hii kwa uchungu nikiomba, kwa yeyeote atakayeisoma, afikishe habari hizi kwa wahusika ili hatua za haraka za uokozi zichukuliwe.


Kuna habari kwamba barabara inayotoka chunya kwenda manyoni imekatika na wasafiri wamekwama hapo porini maeneo ya ipole kwa siku tatu sasa.


Wito wangu ninaomba sana serikali iokoe hawa binadamu. pamoja na kuwapelekea askari wenye silaha (jambo ambalo ni jema), wawapelekee haraka huduma za kibinadamu. hawa watu watakufa porini.


Tunaomba chombo chochote chenye wepesi, kipeleke haraka chakula kama mikate white and brown, biscuits za sukari na zisizo na sukari, juice za sukari na zisizo, maji ya kunywa, huduma ya kwanza, dawa za kuzuia kuumwa na mbu, hata mablanketi ya kujifunika usiku ukizingatia pia njia hiyo huwa na tsetse flies.


Ombi lingine, kwa jinsi hali ya miuondo mbinu ilivyo kwa sasa, serikali ifanye juhudi za haraka za kutoa taarifa mapema pale kunapokuwa na barabara haipitiki ili watu wasiende kukwama maporini na kuhatarisha maisha. hii pia itasaidia watu kupanga route sahihi za kufika wanakotaka kwenda.


Habari nilizozipata ni kwamba daraja limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na hivyo hakuna uwezekano wa gari kupita ama kutoka manyoni kwenda chunya, ama kutoka chunya kwenda manyoni.


Habari zilizonifikia ni kwamba kuna abiria wamekwama hapo porini tangu juzi. ni porini ambapo hakuna duka, hakuna huduma za mpesa, hakuna hoteli wala huduma ya chakula, hakuna huduma ya afya hata duka la dawa, hakuna maji salama, hakuna hata kijiji kinachoweza kutoa msaada kwa hawa binadamu.


Nimeambiwa kwamba serikali ya mkoa wa tabora walikwenda ku survey eneo la tukio. wakati wanajiandaa kujenga daraja, ama kufanya utaratibu wa kuwezesha mahala pale papitike, wamepeleka askari kulinda usalama. hili ni jema, lakini naomba sana uhai wa hao binadamu uangaliwe.
Serikali haijaleta mvua so hatuwezi kuwasadia,halafu hao wanatoka mbeya,hawakumchagua malaika wa Lucifa ni halali yao wakipate moto,ingekuwa wa kanda ya ziwa wangeokolewa.
 
Back
Top Bottom