Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Gari Ya Taa Moja, GusiWaha msituweke kwenye huu ujinga, mabasi ni nini??
Chuma ya mkoloni inapakia hadi ng'ombe wa Mayele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari Ya Taa Moja, GusiWaha msituweke kwenye huu ujinga, mabasi ni nini??
Chuma ya mkoloni inapakia hadi ng'ombe wa Mayele
Tahmeed wako vizuri piaKwenye kusafirisha mizigo ABC NI NUMBER 1
Hawa Tilisho juzi nimeona bus lao ni jipyq limeandikwa VVIP lakini halina choo.Kampuni Bora ni
ABC
Tilisho
Kimbinyiko
Esther
Hao wengine wamevuma Kwa sababu tuu wako sokoni miaka Mingi kiasi kwamba wanafahamika.
Kwa hiyo warombo wanachimba dawa porini na VVIP yao, afadhali hata KALUWA ya Lushoto.Hawa Tilisho juzi nimeona bus lao ni jipyq limeandikwa VVIP lakini halina choo.
Nilicheka sana
Mchina atasumbua sana,kila siku anaboresha tu,na nasikia hyo BM anataka kutoa double tandum,yaani mbele na nyuma,balaa nusu na robo,husikii shimo wala bumpsBm anavyo vyuma haswa japo ni vya kichina ila n vikali
Huyo hela ipoMchina atasumbua sana,kila siku anaboresha tu,na nasikia hyo BM anataka kutoa double tandum,yaani mbele na nyuma,balaa nusu na robo,husikii shimo wala bumps
Basi hupandagi basi wewe 🤣Abood ndio naikubali dunia nzima. Hata kamq ikiwa na watu 40.