Wasamaria:Fahamu chanzo chao na kwanini walikuwa hawachangamani na Wayahudi!

Wasamaria:Fahamu chanzo chao na kwanini walikuwa hawachangamani na Wayahudi!

Watu wanapenda na kujua historia ya Wayahudi na Wasamaria walioishi miaka maelfu na maelfu mbali huko, lakini ukiwauliza historia ya Mwanamalundi, Kinjekitile, Mkwawa au David Makwaia walioishi takriban miaka mia moja iliyopita kwetu hawaijui.

Hili ni jambo la aibu.

Ndiyo maana inakuwa rahisi kutuaminisha kwamba sisi si watu kamili.

Aibu iko wapi hapo?, kila mtu na mtazamo wake na mapenzi yake ya nini cha kusoma na kufuata, na Duniani hakuna kitu kizuri kwa kila mtu na pia hakuna kibaya kwa kila mtu,
 
Aibu iko wapi hapo?, kila mtu na mtazamo wake na mapenzi yake ya nini cha kusoma na kufuata, na Duniani hakuna kitu kizuri kwa kila mtu na pia hakuna kibaya kwa kila mtu,
Aibu ni kwa sababu kama hujui historia yako, hata mtazamo wako huwezi kuujua.

Utapandikiziwa mtazamo wa mtu na kufikiri huo ndio mtazamo wako.

George Santayana said those who do not remember history are condemned to repeat it.

By not knowing our own history, we are repeating slavery, of the more subtle sense, of the mind.

Ukiacha kusoma historia yako na kujikita kwenye historia ya Wayahudi ndiyo mwanzo wa kuamini Wayahudi ni taifa teule na sisi ni wasindikizaji tu hapa duniani.

Watu wanaweza kukutajia vizazi vya Wayahudi 40 kurudi nyuma, lakini ukiwauliza jina la baba yake baba wa bibi mzaa mama wana draw a blank!

Utumwa wa kimawazo.
 
Tusikuvunje moyo umu ila jitahidi kusoma kwa bidii sana biblia maana unaonekana unapenda kujifunza na kushare na wenzako.

Pili jitahidi pia kujenga hoja wakati unaandika pia kichwa kiendane na main body ili kuleta kitu murua zaid ya hiki.

Napenda sana kusoma mambo kama hayo.

Wayahudi walikuwa watu pekee walioteuliwa na Mungu mwenyewe kuwa kama taifa teule la kumuwakilisha Mungu duniani kwa kutenda na shika kanuni za mbinguni.

Uteuzi huu uliwakilishwa na tohara yaani kila myahudi ni lazma atahiriwe na hii ni baada tu ya mtoto kuzaliwa akifikisha umri flani bas anatimiza agano la kuwa myahudi kwa kutahiriwa.

Kwa dhana hio basi kukawa na hali flani ya wayahudi kujiona wao kuwa ni bora zaidi ya wengine.

Kwahiyo si kwa wasamaria tu bali ilikuwa ni kwa kila ambaye hakuwa myahudi walijiwekea mipaka kuwa hawaruhusiwi kuchangamana nao.

Hili lilikuwa ni tatzo na ndio maana kristo anapokutana na mwanamke msamaria kisimani anamwambia nipe maji ninywe si kama yesu hakujua sheria ya kutochangamana bali alikuwa anaonyesha kuwa hakuna cha myahudi wala myunani wala mpagani bali wote baba yetu ni mmoja Mungu wa mbinguni hivyo alikuja kuvunja huo ukuta ambao wayahudi waliujenga dhidi ya mataifa yasio ya kiyahudi.
Asante mtoa mada.
Watumwa wa kiyahudi waliojipa jina israel,waliofanikiwa kutoka misri,waliwaua waafrika waliokuwa natives wa mashariki ya kati,baadhi walibaki ndio kina simeon mkirene,

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sura ziko nyingi sana kaka, we soma Agano la Kale utaelewa:

Mfano

Kumbukumbu la Torati 7
1 Bwana, Mungu wako, atakapokutia katika nchi uendayo kuimiliki, atakapoyang'oa mataifa mengi watoke mbele yako, Mhiti, na Mgirgashi, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, mataifa saba makubwa yenye nguvu kukupita wewe;
2 wakati Bwana, Mungu wako, atakapowatoa mbele yako, nawe utawapiga; wakati huo ndipo uwaondoe kabisa; usifanye agano nao, wala kuwahurumia; wala usioane nao;
3 binti yako usimpe mwanawe mume, wala usimtwalie mwanao mume binti yake.
4 Kwa kuwa atamkengeusha mwanao mume asinifuate, ili wapate kuabudu miungu mingine; ndipo itakapowaka hasira ya Bwana juu yenu, naye atakuangamiza upesi.
5 Lakini watendeni hivi; zivunjeni madhabahu zao zibomosheni nguzo zao, yakateni maashera yao, ziteketezeni kwa moto sanamu zao za kuchonga.
6 Kwa maana wewe u taifa takatifu kwa Bwana, Mungu wako; Bwana Mungu wako, amekuchagua kuwa watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa nchi.
7 .....
16 Nawe angamiza mataifa yote atakayokupa Bwana, Mungu wako; jicho lako lisiwahurumie, wala usiitumikie miungu yao; kwani litakuwa ni mtego kwako jambo hilo.

Kumbukumbu la Torati 20

16 Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;
17 lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako;
18 wasije wakawafunza kufanya mfano wa machukizo yao yote, waliyoifanyia miungu yao; hivyo itakuwa ni makosa juu ya Bwana, Mungu wenu.

Je Nanaimo sio ndugu ya muisrael?maana alikuwa uzao wa noah

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Aibu ni kwa sababu kama hujui historia yako, hata mtazamo wako huwezi kuujua.

Utapandikiziwa mtazamo wa mtu na kufikiri huo ndio mtazamo wako.

George Santayana said those who do not remember history are condemned to repeat it.

By not knowing our own history, we are repeating slavery, of the more subtle sense, of the mind.

Ukiacha kusoma historia yako na kujikita kwenye historia ya Wayahudi ndiyo mwanzo wa kuamini Wayahudi ni taifa teule na sisi ni wasindikizaji tu hapa duniani.

Watu wanaweza kukutajia vizazi vya Wayahudi 40 kurudi nyuma, lakini ukiwauliza jina la baba yake baba wa bibi mzaa mama wana draw a blank!

Utumwa wa kimawazo.

Mbona unageneralize?, nani asiyejua historia yake?, labda wewe, mimi kama sio Mhehe kwa nini nijue historia ya Mkwawa? Kujua kwangu History ya Mkwawa kuna tofauti gani na kujua History ya Wayahudi?, kama Mkwawa sio kabila yangu na myahudi pia sio kabila yangu, so nachagua wapi kwa kujua historia kadiri ya maamuzi yangu sio yako
 
Mbona unageneralize?, nani asiyejua historia yake?, labda wewe, mimi kama sio Mhehe kwa nini nijue historia ya Mkwawa? Kujua kwangu History ya Mkwawa kuna tofauti gani na kujua History ya Wayahudi?, kama Mkwawa sio kabila yangu na myahudi pia sio kabila yangu, so nachagua wapi kwa kujua historia kadiri ya maamuzi yangu sio yako
Mpaka hapo ushaonyesha jinsi usivyojua historia yako na jinsi gani haya makabila ya "Muhehe" "Mmakonde" "Msukuma", "Mgoni", "Mzulu" kati ya Wabantu kwa mfano, yalivyo very artificial na very later addition after the migration of the Bantu people.

Ni kama unamkataa mdogo wako mliozaliwa baba mmoja mama mmoja kwenye familia yenu, halafu unaenda kumkumbatia Myahudi ambaye hata hamna uhusiano wa karibu.

Ndiyo maana nikasema huu ni utumwa wa mawazo.

Bantu Migration

bantumigration.jpg
 
Mpaka hapo ushaonyesha jinsi usivyojua historia yako na jinsi gani haya makabila ya "Muhehe" "Mmakonde" "Msukuma", "Mgoni", "Mzulu" kati ya Wabantu kwa mfano, yalivyo very artificial na very later addition after the migration of the Bantu people.

Ni kama unamkataa mdogo wako mliozaliwa baba mmoja mama mmoja kwenye familia yenu, halafu unaenda kumkumbatia Myahudi ambaye hata hamna uhusiano wa karibu.

Ndiyo maana nikasema huu ni utumwa wa mawazo.

Bantu Migration

bantumigration.jpg

Kaka usiwe mtu wa akulazimisha mambo, kila mtu ana choice yake ya kuamua cha kufuata na cha kukiamini, wewe huna mamlaka yoyote ya kuniamulia cha kuamini au kufuata sijui mdogo wako, sijui mbantu mwenzio, kwangu mimi nikishajua historia ya watu wangu ndio mwisho, so kujua watu wengine aidha awe mbantu, muhindi, myahudi nk ni chaguo langu na wala sio lako, kwa nini unalazimisha mtu kama ni mbantu Mgogo, basi amjue Kimweli, Mkwawa nk kwa nini? Yeye kama Mgongo Mazengo anamtosha sana, ukitaka amjue na Mbantu mwingine ambaye sio Mgogo basi pia ana uhuru wa kumjua Myahudi pia

Kitu cha ajabu unachokifanya ni hichi, yaani unakataa historia ya Wayahudi iliyoandikwa na Wazungu unaikubali historia ya Wabantu iliyoandikwa na Wazungu haohao, hivi kweli kwa akiki zako unaamini hiyo ramani ni ya kweli?
 
Kaka usiwe mtu wa akulazimisha mambo, kila mtu ana choice yake ya kuamua cha kufuata na cha kukiamini, wewe huna mamlaka yoyote ya kuniamulia cha kuamini au kufuata sijui mdogo wako, sijui mbantu mwenzio, kwangu mimi nikishajua historia ya watu wangu ndio mwisho, so kujua watu wengine aidha awe mbantu, muhindi, myahudi nk ni chaguo langu na wala sio lako, kwa nini unalazimisha mtu kama ni mbantu Mgogo, basi amjue Kimweli, Mkwawa nk kwa nini? Yeye kama Mgongo Mazengo anamtosha sana, ukitaka amjue na Mbantu mwingine ambaye sio Mgogo basi pia ana uhuru wa kumjua Myahudi pia

Kitu cha ajabu unachokifanya ni hichi, yaani unakataa historia ya Wayahudi iliyoandikwa na Wazungu unaikubali historia ya Wabantu iliyoandikwa na Wazungu haohao, hivi kweli kwa akiki zako unaamini hiyo ramani ni ya kweli?
Huwezi kusema una choice wakati huna information.

Unajionyesha hujui kitu kwa kusema historia ya Wayahudi imeandikwa na Wazungu.

Wakati Wazungu wanahangaika kwenye mapango ya Ulaya hawajui hata kuandika, Wayahudi walishaanza kundika historia yao.
 
Wakuu,
Unapofungua Agano Jipya,hasa
katika zile Injili Nne,utakutana na
uadui kati ya Wayahudi dhidi ya
Wasamaria!
Ila ushawahi jiuliza chanzo cha
ukinzani huu?
Basi twende sote tupate kujua!
Ukirudi nyuma kidogo katika
Agano la Kale utakutana na
Mfalme Suleiman!
Baada ya kuikinikia hekima
aliyoiomba na kupewa na
Mungu,Mungu aliamua kuugawa
ufalme katika vipande viwili
hasimu:Ufalme wa Yuda upande
wa Kusini na Israel upande wa
kaskazini!
Kwa kuwa Mungu hakutaka
kuutia doa ufalme wa Suleiman ili
kutokuvunja agano lake
aliloliweka na Mfalme Daudi,basi
kumrundia heshima
Daudi,alisubiri Suleiman
afe,ndipo auchane pawili ufalme
kama adhabu dhidi ya uasi wa
Suleimani kwa Mungu kwa kuleta
ibada ya shetani na miungu ya
kigeni kupitia mamia ya wake wa
kigeni aliyowaoa!
Punde,Suleiman alipovuta pumzi
ya mwisho,Israeli ikachanwa
katikati!
Makabila kumi yakaasi na
kujiunga na Jeroboam na
akaanzisha ufalme wake,huku
makao makuu yakiwa katika mji
wa Samaria!
Makabila mawili yakajiunga na
kutengeneza ufalme wa Yuda
yakiongozwa na Rehoboam
mtoto mkubwa wa Mfalme
Suleiman!
Pia kumbuka,kabila pekee
lilikokuwa na mamlaka ya kutoa
mfalme lilikuwa la Yuda!
Ila cha ajabu,Jeqoboam alikuwa
wa kabila la Ephraim!
Dharau namba moja!
Kama haitoshi Hekalu la Suleiman
lilikuwa Yerusalem kule
Yuda,kwahyo kila mwaka
Wayahudi wa Samaria wafunge
safari ya kuja hekaluni!
Jambo hili likamkela Mfalme
Jeroboam!
Naye pasipo kumuomba Mungu
ushauli,akaamua kujitengenezea
ndama wawili,katika mji wa
Betheli ili Wayahudi wa Samaria
wasiende Yerusalem!
Jambo hili lilimkera Mungu sana!
Uadui uliendelea!
Ila ulikua zaidi mwaka 722 Kabla
ya Kristo,baada ya ufalme
kupinduliwa na maelfu ya
waisraeli wa Samaria kubebwa
utumwani na jeshi la Wassyria!
Na mfalme aliyeshinda,akaamua
kuleta watu wa mataifa mbali
kutoka katika makoloni yake toka
Ninawi mpaka Babylon ili
wautunze mji na kuilima ardhi!
Lengo lake ilikuwa ni kuzima
jitihada zote za Wayahudi wa
Samaria kujitutumua tena ili
kupinga utawala wake!
Na pia kutoa somo kwa makoloni
madogo kuwa yasithubutu
kuleta fyokofyoko!
Lakini cha ajabu,nchi ya Samaria
ikaanza kuvamiwa na Simba wala
watu!
Baada ya watu kusosiwa kwa
muda mrefu na taarifa kumfikia
mfalme wa Assyria,ikabidi kuhani
wa Kiyahudi atafutwe!
Baada ya upepelezi,ikaonekana
Yahweh hajapendezwa na
miungu ya wakazi wapya wa
Samaria,hivyo kuhani akatumwa
kwenda Samaria ili
kuwafundisha watu amri za
Yahweh!
Baada ya hali kutulia,mwaka 586
Kabla ya Kristo ufalme wa kusini
nao ukaanguka kwa mkono wa
Nebukadneza!
Wayahudi wa Samaria
hawakuwahi kurudi Samari,na
huo ukawa mwisho wa hayo
makabila kumi!
Ila yale makabila mawili ya
kusini,yalirudi chini ya uongozi
wa Nehemia na Ezra!
Kwahyo mbele ya
Wayahudi,hawa wakazi wapya
wa Samaria,na baadaye katika
Agano Jipya wakiitwa walikuwa
ni Walowezi,nusu watu na wa
mataifa!
Walikuwa na haki zote za
kuwachukia!
Japo Kristo aliwatendea
vizuri,kama yule mwanamke
msamaria pale kisimani,mpaka
hekalu linavunjwa mwaka 70
Baada ya Kristo "bifu" liliendelea!
Umezingua

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kusema una choice wakati huna information.

Unajionyesha hujui kitu kwa kusema historia ya Wayahudi imeandikwa na Wazungu.

Wakati Wazungu wanahangaika kwenye mapango ya Ulaya hawajui hata kuandika, Wayahudi walishaanza kundika historia yao.

Wazungu gani waliokuwa kwenye Mapango?, Wareno, wagiriki?, Warumi? Au wewe mzungu ni Mwingereza tu? Hao Wayahudi walitawaliwa na Wazungu wa kila aina leo useme wazungu walikuwa kwenye mapango!
 
Wazungu gani waliokuwa kwenye Mapango?, Wareno, wagiriki?, Warumi? Au wewe mzungu ni Mwingereza tu? Hao Wayahudi walitawaliwa na Wazungu wa kila aina leo useme wazungu walikuwa kwenye mapango!
Unaongelea historia ya Wayahudi iliyoandikwa na Wazungu gani mwaka gani? Labda tuanzie hapo.

Maana unaongelea Wazungu kwa kutaja nchi zilizoanza juzi hapa mpaka naona unataka kushindana kuogelea na mimi katika dimbwi la sentimeta tano.
 
Back
Top Bottom