Hahahah[emoji23]Tena ni kisimo cha kui
Ipi mojawapo?Wenzako sijui wanatukana , mnacheka, ipi nikuamin nitafsirie kwanza
Nawe ni Ushoto?
UsotoNawe ni Ushoto?
UsotoWazee wa ushoto.....
Unachuki sana na Wasambaa vipi walikumegea nkeo? Maana nyie wala urojo hamna pumzi wake zenu wanalalamika sana mkipiga kimoko hadi mwezi uandame tena,sasa kaja Msambaa pochi imenona na anapiga show za kibabe lazima uonekane demu tu na ndiyo mwanzo wa chuki hizi.Wako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864
Hicho labda kihutu Wasambaa hawana kitu kama hicho.Wakisalimina wanasema "waadai waadai"
Ha ha ha ha[emoji23]Hicho labda kihutu Wasambaa hawana kitu kama hicho.
Ha ha ha ha[emoji23]Hicho labda kihutu Wasambaa hawana kitu kama hicho.