Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakula jizongo ja maana.Wee sanalii wewe unachowatafuta wagosi utakipata
Au ngombe.Ni kama Wahaya ambavyo hawanaga “H”
Halleluja = Aleluya
Habari = Abari
N.k
Hatuna mbegu kama hiyo
Ni kama Wahaya ambavyo hawanaga “H”
Halleluja = Aleluya
Habari = Abari
N.k
Mimi ni Mgosi na ni Mpare piaKwani mshana wewe ni mgosi au mpare???
Mimi ni Mgosi na ni Mpare piaKwani mshana wewe ni mgosi au mpare???
Wapare na Wasambaa ni ndugu hata lugha hawatetani na hawana utani wote mtani wao ni Mchaga.Kwani mshana wewe ni mgosi au mpare???
H. CMimi ni Mgosi na ni Mpare pia
Wasambaa na wapare ni ethics moja wote ni WA kule milimani ,wanaweza kuongea kisambaa na kipare wakafanana na kuelewana ..Kuna a thin line ila wanafanana kwa asilimia 90 hizi jamii mbili ndo zinaendana na wachaga .Kwani mshana wewe ni mgosi au mpare???
Kwani shida yako nini wewe, hata wakikuita Princess Kunta mbona poa tuCorona wanaita coona
Korogwe wanaita Koogwe
Neachipate kinda neachiputekuna uvyetionda wene mbwanga
Mimi ni Mgosi na ni Mpare pia
ng'etimtoe zongo ja goshiNeachipate kinda neachipute