Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matharani=mathalani.Hawanaga L na R ,
Watataja ile consonat husika.
Matharani: Korogwe = Koogwe
Burudani = Buudani
Lushoto = Ushoto
Arusha = Ausha
N.k.
MTU yoyote anayejivunia lugha zote ispokua yake Ni mtumwa. Mimi nikikutana na MTU wa kabila langu kwakweli kiswahili tunakiweka kando.Mtoa mada anatuonea tu wivu na lugha yetu, kama yule mwenzake aliyetusema eti tukisafiri kwenye mabasi tunaongea Kisambaa tu!
Wajigwa!Wako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864
Shauri yakoSina ugonvi nao kabisa, wanchekesha tu
Aione Shimba ya Buyenze [emoji1544][emoji1550]Nadhani wasukuma wanaongoza...wale raia wanaongea kwa msuli mno
Nadhani wasukuma wanaongoza...wale raia wanaongea kwa msuli mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona tumefikiwaWasambaa wakakaza meno wakiongea ndo tatizo .Wadigo na wapemba kiswahili Chao kizuri kwa vile wanalegeza Midomo na wanaweza kucontrol rising and falling tone katika maongezi hata kuimba.
Ila wasambaa kukaza mdomo ndo maana wanashindwa kutaja R na L Mfano kwao Lushoto wanasema ushoto.
Halafu maneno ya kiswahili wanataka kutamka katika kisambaa ndo wanapokosea sanitizer wanasema Hasan teiza ili mradi walifanyie liwe neno ya kisambaa.
Tunatamka kwa kisambaa, sio kwa Kiswahili.Wako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864
😂😂😂Angalia nyimbo ya Dr leader ile Mimi ni msambaa 😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona tumefikiwa
Halafu kuna wapogoro, wakaguru, waluguru, wandengereko, wazaramo, wakwewe, wadigo, wazigua, wabondei, wamakonde, wajikenda, hawa nao lafudhi zao
Acha uongo😂😂😂Unalazimisha singida labda useme ile kama warangi kwa mbali na wamasai ila sio izo.Halafu watu wa singida wanalazimisha lafudhi ya kichaga na kiarusha