berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 877
- 2,618
Lafudhi ya kihaya Ni mbaya kuliko zote jamani duh.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu kuna wapogoro, wakaguru, waluguru, wandengereko, wazaramo, wakwewe, wadigo, wazigua, wabondei, wamakonde, wajikenda, hawa nao lafudhi zao chenga tupu
Kuna siku kuna jamaa alijichanganya akaingia kwenye nyumba ya wasambaa,,
Basi sisi tupo nje tunasikia kelele huko ndani,,
Mtoe,, mtoe,,aisee mtoeee
Baada ya muda tukasikia kimyaaa..
Jamaa kumbe washaua.
Kumbe neno mtoe kisambaa ni piga,,
Tulihuzunika sana majirani..
Dah,,walimtoa jamaa wa watu,,Hata Kwa kizigua ni hivyo hivyo [emoji4]
Nimemwambia kwa hapa bara hakuna kama wadigo na haitokuja kutokea daima..Lafudhi nzuri yaani hata mtu akiwa na hasira unaona anaongea kawaida tu.Wadigo ni habari nyingine @ Mpendwa [emoji108][emoji4]
Dah,,walimtoa jamaa wa watu,,
Sisi tunasubiri atolewe Ndani.
Kumbe wanaua.
Nimemwambia kwa hapa bara hakuna kama wadigo na haitokuja kutokea daima..Lafudhi nzuri yaani hata mtu akiwa na hasira unaona anaongea kawaida tu.
Daah[emoji3]Wasambaa GSM wanatamka Jieshiemu na wamakonde “mke wake “ wanatamka Nkewe
Wewe nawe ni mathalan siyo matharani.Hawanaga L na R ,
Watataja ile consonat husika.
Matharani: Korogwe = Koogwe
Burudani = Buudani
Lushoto = Ushoto
Arusha = Ausha
N.k.
zumbemkuu sheiza njooni hukuWako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864
[emoji1787]Nadhani wasukuma wanaongoza...wale raia wanaongea kwa msuli mno
Kaje hishi ya nyokwe na zobe ja isho mkuuWako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864
Makamba kakutieni la kati hadi mnashambulia kabila lake.Wako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864
Najivunia lugha yangu. Mkataa kwao mtumwaKama unajiamini ongea , lugha mbaya kama nini
Mama yako bila kupanua miguu ungezaliwa wewe simbilisi?Halafu vimalaya fulani amazing
Cc Makamba srWako kienyeji enyeji sana, kile Kiswahili mnachokisikia cha watu wa Tanga, ni Wabondei na w
Wadigo, Wasamba hamna kituView attachment 2442864