Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahMtuwache!
View attachment 2443592
Hunishindi mimiHakika najivunia kuwa Msambaa. [emoji123]
Ningekuwa Mgogo, Msukuma, Mmasai, Mzaramo, au Mkojani; ningesikitika sana.
🤣🤣🤣Nyani haoni..............Ni lafudhi sio rafudhi. Hebu sahihisha hicho kichwa cha habari tafadhali.
Aache wachezea wagosingwaWee sanalii wewe unachowatafuta wagosi utakipata
Wayao vp wanachangamoto gani mkuu[emoji28] natamani kujuaHalafu kuna lafudhi kichekesho ya wangoni, wamatengo, wandendeuli, wayao, wamwera, wamanda hawa nao kituko
Sasa wewe una ujanja gani watu tunakuona kidampa tu,unakuja kukashifu mamilioni ya watu kwa kugombana na mtu mmoja tu huo ndiyo ushamba wenyewe.Ndo mana mmekaa kishamba shamba
Wameamua kumpuuza mleta mada
Kumbe wadigo wana sauti nzuri eeeh, sikujua!😀Mimi Mbena+ mmakonde niliepooza
Ni kweliKumbe wadigo wana sauti nzuri eeeh, sikujua!
😂😂😂😂Tunatamka kwa kisambaa, sio kwa Kiswahili.
Moroko = Mooko
Dar es salaam = Daisaama
Tanga = Nhanga
Muheza= Mheza
Korogwe = Kghoogwe
Lushoto= Usoto. N.k
Sophy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NiambieSophy