1) SHAHRUKH KHAN (UTAJIRI$600 Million)
Huyu ndie actor namba moja mwenye mkwanja mrefu kwa india, wenyewe wahindi wanamwita “THE KING OF BOLLYWOOD” . amezaliwa 2 November mwaka 1965 mjini New delhi, mkewe anaitwa Gauri Khan sliyemuoa mwaka 1991 na
mpaka sasa ana watoto 3. Kama ni mtazamaji kidogo wa bollybood nafikiri utakua umeshawahi kumuona. Miongoni mwa movie zake kali ni My name is khan, Kuch Kuch Hota hai, Kal Ho Naa Ho, Devdas na kama unapenda kulia angalia Veer Zara lazima utatoka machozi. Sharuki sio wa kwanza kwa India tu bali pia ni actor wa pili mwenye mkwanja mrefu kwa dunia nzima akitangliwa na Jery Seinfeld
View attachment 379014
2) AMITABH BACHCHAN (UTAJIRI $400 Million)
Anaitwa Amitabh Harivansh Rai Shrivastava Bachchan, ni actor wa pili mwenye mkwanja mrefu kwa upande wa india, na pia ni actor wa 6 kwa dunia nzima. Amezaliwa October 11, 1942 katika mji uitwao Allahabad Nanda. Mkewe anaitwa Jaya Bhaduri Bachchani aliemuoa 1973. Amitabh ana watoto watatu tu na ameshapokea zawadi nyingi akiwa kama actor bora. Miongoni mwa movie alizoact ni Shalay, Zanjeer, Silsila, Paa, Bigg boss, who wants to be a millionair
View attachment 379015
3) SALMAN KHAN (UTAJIRI $200 Million)
licha ya kukutwa na kashfa nyingi pamoja na kufungwa jela kwa muda, Abdul Rashid Salim Salman Khan ni actor wa tatu mwenye mkwanja mwingi kwa india. Amezaliwa December 27, 1965 huko Indore nchini india. Ameact movie kama Sultan,Bajrangi Bhaijaan, Kick, Bodyguad na kama ni mtu wa mambo ya interlligencia ana movie inaitwa Ek Tha Tiger
View attachment 379016
4) AAMIR KHAN (UTAJIRI $185 Million)
Kama ni muangaliaji wa hizi bollybood nafkiri utakua umeshawahi kumuona huyu kiumbe na hata mimi pia namkubali sana maana movie zake nyingi zinaelezea kuhusu mabadiliko na challenge mbali mbali kuhusiana na elimu pamoja na mambo ya dini. Aamir Khan amezaliwa march 14, 1965 mji wa Mumbai nchini India. Amemuoa Reena Dutta 1986 na wakaachana na 2005 amemuoa Kiran Rao. Na mpaka sasa ana watoto watatu. Kwa ukweli movie zake ni challenge
Ana movie inayoitwa Pk inayoeleza juu ya uwepo wa mungu katika dini mbalimbali, movie nyengine inaitwa Laagan inaeleza jinsi waingereza walivokua wakiwatesa wahindi, kuna movie inaitwa Ghajini inaeleza mtu mwenye matatizo ya ubongo baada ya kupata majeraha na anasahau kila baada ya dakika 15, kuna movie inaitwa Dhoom 3 unaweza kuenjoy sana ukiiangalia, kuna nyengine inaintwann Taare Zameen Par inaeleza motto mwenye ugonjwa Fulani, movie hii imempatia fedha nyingi sana. Na kuna movie inaitwa 3 idiot, kama wewe ni motto wa college iangalie hii movie, utajifunza sana na natumai wengi mumeshaiangalia
View attachment 379018
5) AKSHAY KUMAR (UTAJIRI $100 Million)
Anaitwa Rsjiv Hsri Om Bhstia na umaarufu wake ni Akshay Kumar ni actor wa tano mwenye mkwanja mwingi kwa india. Amezaliwa September 9, 1967 huko Amritsar nchini india. Amemuoa Twinkle Khanna 2001 na ana watoto wawili, Ameact movie kama airlift, Baby, Rustom, gabbar is back
View attachment 379019
6) HRITHIK ROSHAN (UTAJIRI $70 million)
View attachment 379020
7) RANBIR KAPOOR (UTAJIRI $66 Million)
View attachment 379021
8) SANJAY DUTT (UTAJIRI $55 Million)
View attachment 379028
9) JOHN ABRAHAM (UTAJIRI $55 Million)
View attachment 379024
10) SAIF ALI KHAN (UTAJIRI $40 Million)
View attachment 379027