Wasanii 10 wanaoongoza kwa pesa nchini India

Wasanii 10 wanaoongoza kwa pesa nchini India

Chuma kile kilipikwa hapo na kina migomba pia van damme ilikuwa mitaa yangu Washkaji kwa chat longtime hata dude ni product ya jamaa huyo
yaah!nakumbuka na dude nae pia mie lakin siku hz siangalii kabisa bongo movie hata DKK 5 labda bahati mbaya tu za marehemu kanumba hapa nasikiliza nyimbo za kihindi habari sipatiii!!

Wahindi wameniteka akili
 
yaah!nakumbuka na dude nae pia mie lakin siku hz siangalii kabisa bongo movie hata DKK 5 labda bahati mbaya tu za marehemu kanumba hapa nasikiliza nyimbo za kihindi habari sipatiii!!

Wahindi wameniteka akili
Mimi sipo kabisa huko ila naikumbuka miaka hiyo hawa jamaa huwa hawavai husika so ukiangalia kazi zao zinachosha mapema.
 
hapa Leo TBC FM wameweka Hindi songs balaa nakesha Leo jamani!
Sa hv kitu cha kal ho nahoo
 
Kuuza kwa movie ama kutokuuza siyo hasara kwa actor sana kama amelipwa hela yake siyo mbaya unajuaje kwenye hiyo hela malipo yake yalikuwa zaidi ya $20m?
umesoma vizuri ukanielewa?..Unafahamu maana ya neno '' I think''?...Unafikiria nini kuhusu ''viashiria''?....Unafahamu ya baadhi ya Holywood A-Listers package zao ili acheze movie na after the box office?...Mapenzi ya Movie za kihindi yasikupofushe na uhalisia ukaignore baadhi ya facts..
 


wapenzi wa movie za kihindi...tafuteni hii movie aisee.....mimi binafsi hii nyimbo uwa inaniliza sana imeimbwa kwa hisia sana.
 
hahahhaaaaa!!llooh!kukesha ni wito!!
Maana ķauli yako ilikuwa inahamasisha kweli kumbe watu wangeingia chaka .Wale wasichana wa zamani wa kihindi ndio walikuwa wananivutia kuanzia mama lao hema Malin ukija kwa zenaat aman huku rekhash roshan pale jaya preda meena hapo nilikuwa natulia hawa wa siku hizi simjui hata mmoja.
 
Maana ķauli yako ilikuwa inahamasisha kweli kumbe watu wangeingia chaka .Wale wasichana wa zamani wa kihindi ndio walikuwa wananivutia kuanzia mama lao hema Malin ukija kwa zenaat aman huku rekhash roshan pale jaya preda meena hapo nilikuwa natulia hawa wa siku hizi simjui hata mmoja.
hhhaaaha!nshazeeka uwezo wa kukesh sina!!!
 
1) SHAHRUKH KHAN (UTAJIRI$600 Million)
Huyu ndie actor namba moja mwenye mkwanja mrefu kwa india, wenyewe wahindi wanamwita “THE KING OF BOLLYWOOD” . amezaliwa 2 November mwaka 1965 mjini New delhi, mkewe anaitwa Gauri Khan sliyemuoa mwaka 1991 na
mpaka sasa ana watoto 3. Kama ni mtazamaji kidogo wa bollybood nafikiri utakua umeshawahi kumuona. Miongoni mwa movie zake kali ni My name is khan, Kuch Kuch Hota hai, Kal Ho Naa Ho, Devdas na kama unapenda kulia angalia Veer Zara lazima utatoka machozi. Sharuki sio wa kwanza kwa India tu bali pia ni actor wa pili mwenye mkwanja mrefu kwa dunia nzima akitangliwa na Jery Seinfeld
View attachment 379014

2) AMITABH BACHCHAN (UTAJIRI $400 Million)
Anaitwa Amitabh Harivansh Rai Shrivastava Bachchan, ni actor wa pili mwenye mkwanja mrefu kwa upande wa india, na pia ni actor wa 6 kwa dunia nzima. Amezaliwa October 11, 1942 katika mji uitwao Allahabad Nanda. Mkewe anaitwa Jaya Bhaduri Bachchani aliemuoa 1973. Amitabh ana watoto watatu tu na ameshapokea zawadi nyingi akiwa kama actor bora. Miongoni mwa movie alizoact ni Shalay, Zanjeer, Silsila, Paa, Bigg boss, who wants to be a millionair
View attachment 379015

3) SALMAN KHAN (UTAJIRI $200 Million)
licha ya kukutwa na kashfa nyingi pamoja na kufungwa jela kwa muda, Abdul Rashid Salim Salman Khan ni actor wa tatu mwenye mkwanja mwingi kwa india. Amezaliwa December 27, 1965 huko Indore nchini india. Ameact movie kama Sultan,Bajrangi Bhaijaan, Kick, Bodyguad na kama ni mtu wa mambo ya interlligencia ana movie inaitwa Ek Tha Tiger
View attachment 379016

4) AAMIR KHAN (UTAJIRI $185 Million)

Kama ni muangaliaji wa hizi bollybood nafkiri utakua umeshawahi kumuona huyu kiumbe na hata mimi pia namkubali sana maana movie zake nyingi zinaelezea kuhusu mabadiliko na challenge mbali mbali kuhusiana na elimu pamoja na mambo ya dini. Aamir Khan amezaliwa march 14, 1965 mji wa Mumbai nchini India. Amemuoa Reena Dutta 1986 na wakaachana na 2005 amemuoa Kiran Rao. Na mpaka sasa ana watoto watatu. Kwa ukweli movie zake ni challenge

Ana movie inayoitwa Pk inayoeleza juu ya uwepo wa mungu katika dini mbalimbali, movie nyengine inaitwa Laagan inaeleza jinsi waingereza walivokua wakiwatesa wahindi, kuna movie inaitwa Ghajini inaeleza mtu mwenye matatizo ya ubongo baada ya kupata majeraha na anasahau kila baada ya dakika 15, kuna movie inaitwa Dhoom 3 unaweza kuenjoy sana ukiiangalia, kuna nyengine inaintwann Taare Zameen Par inaeleza motto mwenye ugonjwa Fulani, movie hii imempatia fedha nyingi sana. Na kuna movie inaitwa 3 idiot, kama wewe ni motto wa college iangalie hii movie, utajifunza sana na natumai wengi mumeshaiangalia

View attachment 379018

5) AKSHAY KUMAR (UTAJIRI $100 Million)
Anaitwa Rsjiv Hsri Om Bhstia na umaarufu wake ni Akshay Kumar ni actor wa tano mwenye mkwanja mwingi kwa india. Amezaliwa September 9, 1967 huko Amritsar nchini india. Amemuoa Twinkle Khanna 2001 na ana watoto wawili, Ameact movie kama airlift, Baby, Rustom, gabbar is back
View attachment 379019

6) HRITHIK ROSHAN (UTAJIRI $70 million)

View attachment 379020

7) RANBIR KAPOOR (UTAJIRI $66 Million)

View attachment 379021

8) SANJAY DUTT (UTAJIRI $55 Million)
View attachment 379028


9) JOHN ABRAHAM (UTAJIRI $55 Million)
View attachment 379024

10) SAIF ALI KHAN (UTAJIRI $40 Million)
View attachment 379027
1) SHAHRUKH KHAN (UTAJIRI$600 Million)
Huyu ndie actor namba moja mwenye mkwanja mrefu kwa india, wenyewe wahindi wanamwita “THE KING OF BOLLYWOOD” . amezaliwa 2 November mwaka 1965 mjini New delhi, mkewe anaitwa Gauri Khan sliyemuoa mwaka 1991 na mpaka sasa ana watoto 3. Kama ni mtazamaji kidogo wa bollybood nafikiri utakua umeshawahi kumuona. Miongoni mwa movie zake kali ni My name is khan, Kuch Kuch Hota hai, Kal Ho Naa Ho, Devdas na kama unapenda kulia angalia Veer Zara lazima utatoka machozi. Sharuki sio wa kwanza kwa India tu bali pia ni actor wa pili mwenye mkwanja mrefu kwa dunia nzima akitangliwa na Jery Seinfeld
View attachment 379014

2) AMITABH BACHCHAN (UTAJIRI $400 Million)
Anaitwa Amitabh Harivansh Rai Shrivastava Bachchan, ni actor wa pili mwenye mkwanja mrefu kwa upande wa india, na pia ni actor wa 6 kwa dunia nzima. Amezaliwa October 11, 1942 katika mji uitwao Allahabad Nanda. Mkewe anaitwa Jaya Bhaduri Bachchani aliemuoa 1973. Amitabh ana watoto watatu tu na ameshapokea zawadi nyingi akiwa kama actor bora. Miongoni mwa movie alizoact ni Shalay, Zanjeer, Silsila, Paa, Bigg boss, who wants to be a millionair
View attachment 379015

3) SALMAN KHAN (UTAJIRI $200 Million)
licha ya kukutwa na kashfa nyingi pamoja na kufungwa jela kwa muda, Abdul Rashid Salim Salman Khan ni actor wa tatu mwenye mkwanja mwingi kwa india. Amezaliwa December 27, 1965 huko Indore nchini india. Ameact movie kama Sultan,Bajrangi Bhaijaan, Kick, Bodyguad na kama ni mtu wa mambo ya interlligencia ana movie inaitwa Ek Tha Tiger
View attachment 379016

4) AAMIR KHAN (UTAJIRI $185 Million)

Kama ni muangaliaji wa hizi bollybood nafkiri utakua umeshawahi kumuona huyu kiumbe na hata mimi pia namkubali sana maana movie zake nyingi zinaelezea kuhusu mabadiliko na challenge mbali mbali kuhusiana na elimu pamoja na mambo ya dini. Aamir Khan amezaliwa march 14, 1965 mji wa Mumbai nchini India. Amemuoa Reena Dutta 1986 na wakaachana na 2005 amemuoa Kiran Rao. Na mpaka sasa ana watoto watatu. Kwa ukweli movie zake ni challenge

Ana movie inayoitwa Pk inayoeleza juu ya uwepo wa mungu katika dini mbalimbali, movie nyengine inaitwa Laagan inaeleza jinsi waingereza walivokua wakiwatesa wahindi, kuna movie inaitwa Ghajini inaeleza mtu mwenye matatizo ya ubongo baada ya kupata majeraha na anasahau kila baada ya dakika 15, kuna movie inaitwa Dhoom 3 unaweza kuenjoy sana ukiiangalia, kuna nyengine inaintwann Taare Zameen Par inaeleza motto mwenye ugonjwa Fulani, movie hii imempatia fedha nyingi sana. Na kuna movie inaitwa 3 idiot, kama wewe ni motto wa college iangalie hii movie, utajifunza sana na natumai wengi mumeshaiangalia

View attachment 379018

5) AKSHAY KUMAR (UTAJIRI $100 Million)
Anaitwa Rsjiv Hsri Om Bhstia na umaarufu wake ni Akshay Kumar ni actor wa tano mwenye mkwanja mwingi kwa india. Amezaliwa September 9, 1967 huko Amritsar nchini india. Amemuoa Twinkle Khanna 2001 na ana watoto wawili, Ameact movie kama airlift, Baby, Rustom, gabbar is back
View attachment 379019

6) HRITHIK ROSHAN (UTAJIRI $70 million)

View attachment 379020

7) RANBIR KAPOOR (UTAJIRI $66 Million)

View attachment 379021

8) SANJAY DUTT (UTAJIRI $55 Million)
View attachment 379028


9) JOHN ABRAHAM (UTAJIRI $55 Million)
View attachment 379024

10) SAIF ALI KHAN (UTAJIRI $40 Million)
View attachment 379027

Shah rukh khan anampita Amitabh kwa utajiri hmmm
 
Back
Top Bottom