Wasanii 10 wanaoongoza kwa pesa nchini India

Ilikuwa waqt mzuri sana akina lekhash roshan na mzee sanjiv kumar penye sholay ilikuwa khatari sana na jinsi mashuka yale na sauti kubwa yaani ilikuwa burdaaaaan.
 
my name is khan nilichelewa kuijua, siku hiyo naangalia tuzo shahrukh ndo anapewa tuzo filamu bora 2010 ikabidi nikaitafute, dah huwezi amini machozi yalinitoka pale alipofukuzwa na yule demu, huyu jamaa fundi aisee
hapana tofauti kabisa Ila Mara hao wengi sio wahindu in waislamu kwa kule India kuna Salmaan Kha,Shah rukh khan,arbaaz khan,Zayed Khan,Saif Ali Khan,Amir Khan etc
 
Ilikuwa waqt mzuri sana akina lekhash roshan na mzee sanjiv kumar penye sholay ilikuwa khatari sana na jinsi mashuka yale na sauti kubwa yaani ilikuwa burdaaaaan.
Sholay kwa Mara ya kwanza naiona pale Dharmendra anakufa mchozi ulintoka!Dash Amita anafunu shilingi anakuta ina upande mmoja tu!
Sholay kwa wahindi ni lifetime muvie ile
 
Sholay kwa Mara ya kwanza naiona pale Dharmendra anakufa mchozi ulintoka!Dash Amita anafunu shilingi anakuta ina upande mmoja tu!
Sholay kwa wahindi ni lifetime muvie ile
Kipande kilichonisikitisha ni pale walipokuwa wanamlaumu mzee sanjiv kwanini hakuwapa bunduki na ilikuwa mita chache kutoka alipo? Ndipo alipowapa hadithi yake na kuvua blanket akiwa hana mikono yote ilikatwa na amjad khan au gabbar Singh kile kipande kilikuwa kinaumiza kijiji kizima kilipatwa na simanzi.
 
yaani!!na yule Dada mjane aliyeachwa na mmewe!Sholay nzuri sana!
 
Naona picha la kihindi limehamia hapa.
Wadau mnatiririkaaaa....
Duh,ngoja niitafute hiyo Sholay nilie na mimi maana kwa kulia ndio mwenyewe.
 
Shahrukh Khan hana mpinzani.
Jamani huyu baba nampenda mnooo!
Wapi Sunil Shety?Sun Deo?
Mimi sio mfuatiliaji wa movie za kihindi sana.
Ukipata wasaa tuandalie list ya Wakorea mkuu...
Asante.
Wale tumbili awana kitu apeche alolo
 
Tatizo Lugha. Unaweza kujikuta unakimbizana na subtitles unasahau maudhui ya muvi
 
Acha masikhara mkuu.
Tatizo kila mtu ana taste yake...
Tukubaliane kutofautiana [emoji12]
Period.
[emoji1] [emoji1] haha 4 real ww nimpenz sana wa hao watu and i respect that [emoji6] [emoji6] i wsh ningekuunganisha na rafk yng 1 yan huyo akilala akiamka anawaza wakorea 2 noma. Wanajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…