Wasanii ambao hawajui kuimba kabisa lakini bado wanalazimisha kuimba

Mtoa mada hujui muziki hujui ethics (miiko) ya muziki hujui lolote kuhusu muziki. Kwanini namesema hayo bebe

Tuanze na Lavalava ni bonge la mtunzi na mwimbaji mwenye vocals za international level

Young killer unahitaji akili iliyopanuka kumuelewa anachokiwasilisha ni real hip hop artist wengine ni wabaka fani na wengine wapo kimaslahi zaidi mfano WEUSI

Hujui muziki mleta mada
 
Ili nifanyie nini hizo comments, zero brain & lazy
Person kama wewe ndio mnaweza kutafta comments.

I am saying what is on my mind, sio lazima niwafurahishe mataahira wote humu.
OK poa
 
Hivi umeshasikiliza ngoma ya Young killer ft khaligraph jones..embu sema ni rapper gani hapa bongo kwa sasa anaweza kudondoka vile?..wamebaki wachache sana,young killer akiwa ni mmoja wapo.
Nadhani mleta mada haelewi kinachoimbwa na Youngkiller kwa mana hiyo akaona Msodoki aache kwa tunao mwelewa tunahitaji aendelee na aboreshe kazi yake.
 
We unasema young killer hajui kuimba kwanza we unapenda aina gani ya mziki ndo mengine yaendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…