Kuna msanii mmoja anaitwa Hongera. Yeye ilo jina ndio alikua lake kabisa, nimelisahau jina lake la kisanii, ila kulikua na tamasha sasa mtu mmoja alienda jiandikisha kwa jina la Hongera. Ikafika zamu yake wanaita Hongera apande stejini hakuna mtu, jamaa akajiripua akapanda. Hafu akachana fresh tu.
Ana wimbo unaimba:
Mashabiki bwana "Shukaaa Shukaaa",
Ata sijaanza kuchana "Shukaaa Shukaaa"...