Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
martin.remtula.ben paul ni mashoga ila ben paul yeye anachukua ma botton tu ageuzwi
Aisee dada yangu kaniaibisha lolllll
Geez maabovu ndio nani
Hahaaa umenichekesha ulivyoguna, nakumbuka hivi karibuni alisema anatamani na yeye kupata mtoto.
na we nasikia ni nanilihii
We unajua nyeti nyingi, Vipi Kidoti, Keisha, AY na Madam L.i.ta
geez mabovu dah,nimeshamuona pic yake mdau
Ha ha ha! Unamtafuta MTU ubaya
Haha ndo huyo aliyekuwa shemeji kwa Fetty teh
Nadhani majibu kapata hila hiyo ally rehmtulah hakuna haja kuambiwa chochote muonekano wake tu utajua kama jamaa.......................
Mkuu usikariri. Ally rehmtulah anaye girlfriend wake kabisa na usibishe kuhusu hili. Pia Ally huyo huyo ana boyfriend wake.
Mbona ueleweki mkuu yani ana galfriend then ana boyfriend nadhani umekula viroba yani wali maini awe na galfriend labda wa kuzugia tu
Hahaaaa hamna hao ninao wajua coz mambo yao yako wazi.
Kidoti baada ya kuachana na Domo then akawa na Hashim Thabeet kwa sasa sijui.
Ay anademu wake alishawahi kuwekwa humu JF.
Madam Rita sijui kwakweli
1. Martin Kadinda
Ni mwanamitindo maarufu apa bongo, na anayefanya vizuri kwenye tasnia hiyo, pia ni manager wa wema sepetu. Huyu amekuwa akipiga picha na warembo tofauti tofauti , ila haijawahi kuripotiwa popote mrembo anayetoka nae ata kwa kupakaziwa.
2. Salama Jabir
Huyu ni mtangazaji wa mkasi TV show, mbali na muonekano wake wa kuvutia ila hadi Leo haijawahi kuripotiwa mtu anayemmliki hata kwa kusingiziwa.
3.Ben Pol
mwanamuziki classic wa bongo fleva, achilia mbali muonekano wake wa kuvutia , naye mpaka Leo mpenzi wake hajulikani, na wala haijawahi kuripotiwa popote kama ana mpenzi au la.
4. DJ Fettty
Huyu ni mtangazaji wa clouds FM, ana sura na umbo la kuvutia , ila hadi Leo haijulikani mtu anayekula mzigo nani, japo kwa kusingiziwa
5.Millard Ayyo
Mtangazaji machachari kutoka clouds FM, pamoja na utanashati wake ila haijawahi kuripotiwa popote kama yupo kwenye mahusiano na haijulikani mpenzi wake ni nani
6. B 12
Huyu kama ilivyo kwa Millard, hajawahi kuhusishwa na scandal yeyote ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, haijulikani kama yupo au la.
7. Adam Mchonvu
huyu pia hajawahi kusikika au kuhusishwa na mahusiano ya aina yeyote.
8.Ally Rehmtulah
Mbunifu wa mavazi, naye huyu hajawahi kuhusishwa na wala haijuilikani kama ana mpenzi au la.
Hahaa na vile alivyo unaweza fikiri ana date na mtu mkubwaaaa kumbe dah mapenzi haya.
Yaan anapenda kuchukuliwa na wavuta bangi tu,si hata hyu Ngwea alipitaa,nasikia pia January anapiga mzigo !!!!!!