Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Geez maabovu ndio nani

Dah hata sijui ni kuambiaje maana nyimbo anazoimba ni ngumu alafu sio maarufu kiivyo aliimba wimbo kama mtoto wa kiume, Mimi aliowashirikisha jay mo, chid beenz na fid hizo alizitoa mwaka 2008/9 hv karibuni hana hata singo mpya
 
geez mabovu dah,nimeshamuona pic yake mdau
images
 
We unajua nyeti nyingi, Vipi Kidoti, Keisha, AY na Madam L.i.ta

Hahaaaa hamna hao ninao wajua coz mambo yao yako wazi.
Kidoti baada ya kuachana na Domo then akawa na Hashim Thabeet kwa sasa sijui.

Ay anademu wake alishawahi kuwekwa humu JF.

Madam Rita sijui kwakweli
 
Mkuu usikariri. Ally rehmtulah anaye girlfriend wake kabisa na usibishe kuhusu hili. Pia Ally huyo huyo ana boyfriend wake.




Mbona ueleweki mkuu yani ana galfriend then ana boyfriend nadhani umekula viroba yani wali maini awe na galfriend labda wa kuzugia tu
 
1. Martin Kadinda

Ni mwanamitindo maarufu apa bongo, na anayefanya vizuri kwenye tasnia hiyo, pia ni manager wa wema sepetu. Huyu amekuwa akipiga picha na warembo tofauti tofauti , ila haijawahi kuripotiwa popote mrembo anayetoka nae ata kwa kupakaziwa.

2. Salama Jabir

Huyu ni mtangazaji wa mkasi TV show, mbali na muonekano wake wa kuvutia ila hadi Leo haijawahi kuripotiwa mtu anayemmliki hata kwa kusingiziwa.

3.Ben Pol

mwanamuziki classic wa bongo fleva, achilia mbali muonekano wake wa kuvutia , naye mpaka Leo mpenzi wake hajulikani, na wala haijawahi kuripotiwa popote kama ana mpenzi au la.

4. DJ Fettty

Huyu ni mtangazaji wa clouds FM, ana sura na umbo la kuvutia , ila hadi Leo haijulikani mtu anayekula mzigo nani, japo kwa kusingiziwa

5.Millard Ayyo

Mtangazaji machachari kutoka clouds FM, pamoja na utanashati wake ila haijawahi kuripotiwa popote kama yupo kwenye mahusiano na haijulikani mpenzi wake ni nani

6. B 12

Huyu kama ilivyo kwa Millard, hajawahi kuhusishwa na scandal yeyote ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, haijulikani kama yupo au la.

7. Adam Mchonvu

huyu pia hajawahi kusikika au kuhusishwa na mahusiano ya aina yeyote.

8.Ally Rehmtulah

Mbunifu wa mavazi, naye huyu hajawahi kuhusishwa na wala haijuilikani kama ana mpenzi au la.

Wahuni wote hao. Dogo umekosa cha kuandika nini?
 
Hahaa na vile alivyo unaweza fikiri ana date na mtu mkubwaaaa kumbe dah mapenzi haya.

Yaan anapenda kuchukuliwa na wavuta bangi tu,si hata hyu Ngwea alipitaa,nasikia pia January anapiga mzigo !!!!!!
 
Yaan anapenda kuchukuliwa na wavuta bangi tu,si hata hyu Ngwea alipitaa,nasikia pia January anapiga mzigo !!!!!!

Sasa tatizo liko WAP kwani kuvuta Bangi kunahusiana nn name hisia labda ndo taste same na zinampiga mzigo fresh kama we unamind hao masharobaro fresh tu ila usiseme anachukuliwa na wavuta Bangi utadhani kuvuta Bangi ni ishu kuubwaa
 
Back
Top Bottom