it sounds kama yule ambae alimpora Chuji manake ndo miaka hiyo hiyo!!!Alishaoa muda tangu 2009 au 08 kama.
Ni kitu gani ambacho ujakielewa mkuu, mpaka utake summary!?
Mtu akikupora demu wako, we mchapie dada ake tu; maumivu yake yanafanana fanana kidogo hata kama hayapo sawa!! Kama hana dada, ugulia kiutu uzima.Adam alinipokonya demu wangu aisha kisa ye ni maarufu, nammaindi hadi keso
it sounds kama yule ambae alimpora Chuji manake ndo miaka hiyo hiyo!!!
YES, it's Jamila....mapenzi bhana, bifu lote lile kumbe hawakudumu!!!Yule wa Chuji Jamila Kaseja waliachana akaamua kuoa mwanamke mwingine.
mbona watetea majani au weye pia walipuliza nn?
Kwani tatizo nn MTU akipuliza?
madam ritaa anachukuliwa na haji ramadhan
YES, it's Jamila....mapenzi bhana, bifu lote lile kumbe hawakudumu!!!
Naskia mpaka sasa hawaongei Yanga uko.
Nani kasema
Usijaribu kabisa maana sumu haionjwi.
Haionjwi!!!!Mbona Kaseja alionja hakufa na akaamua kukaa nayo na kuitumia
Ndo nani uyooooo..dah anafaidi lile li mzigo.