Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

warumi
Jifunze kuelewa tofauti kati ya msanii na mtangazaji
 
Last edited by a moderator:
Kwani tatizo nn MTU akipuliza?

Kisayansi wanadai moja ya effect za Marijuani ni kupungua kwa uwezo wa kuzalisha mbegu za uzazi, ingawa bado tunaona wapo wapulizaji na bado wamezaa.
Note: Zipo nyingi iyo ni moja.
 
YES, it's Jamila....mapenzi bhana, bifu lote lile kumbe hawakudumu!!!

Yes na haongei na Chuji coz yule alikuwa mke wa chuji lakini before ya kuwa na Chuji alikuwa dem wa Kaseja huko kwao Kigoma so walipokutana tena wakakumbushiana lol!
 

Haionjwi!!!!Mbona Kaseja alionja hakufa na akaamua kukaa nayo na kuitumia

Ile ilikuwa yake before haijachukuliwa na chuji na kama unavyojua hawara hana talaka ndio maana aliweza kuinywa kabisa hata baada ya Chuji kumuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…