Wasanii -Bongo movie siwaoni Energy Summit, tatizo lugha?

Wasanii -Bongo movie siwaoni Energy Summit, tatizo lugha?

Lugha na exposure hawana watatuaibisha tu kupiga kelele za mitano tena
 
Labda kama unaongelea kwa upande wa kwenda kudanga
Tivu kashafanya yake, jioni ya leo lazima Executives wapate ukaribisho rasmi na miili yao kupoozwa na uchovu wa kikao na Jet lag, ndio kazi ya dada zetu wa bongo movie.
 
Lugha na exposure hawana watatuaibisha tu kupiga kelele za mitano tena
Kinanta mc na wenzake hatuwezi kuwaona kwenye mkutano wa kuzungumzia mustakabali wa energy Africa ...labda wakisema mitano tenaa
 
Steve Mengele huwa anarusha mate hovyo. Bora hawajaitwa kwenye mutano.
 
Back
Top Bottom