M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Nilitegemea kama mlivyojikusanya Dodoma Mkutano Mkuu Mbogamboga na hapa Africa Energy Summit muwe wengi vile vile au lugha mzozo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubiri fungu toka kwa Makamu Mwenyekiti (Mteule)Nilitegemea kama mlivyojikusanya Dodoma Mkutano Mkuu Mbogamboga na hapa Africa Energy Summit muse wengi vile vile au lugha mzozo?
Tivu kashafanya yake, jioni ya leo lazima Executives wapate ukaribisho rasmi na miili yao kupoozwa na uchovu wa kikao na Jet lag, ndio kazi ya dada zetu wa bongo movie.Labda kama unaongelea kwa upande wa kwenda kudanga
Ha ha haBado tuko Dodoma kupanga mikakatii
Kwani uliambiwa na nani kwamba huo mkutano unahitaji chawa?Nilitegemea kama mlivyojikusanya Dodoma Mkutano Mkuu Mbogamboga na hapa Africa Energy Summit muwe wengi vile vile au lugha mzozo?
Hili swali awajibie musiba kama yumo humuNilitegemea kama mlivyojikusanya Dodoma Mkutano Mkuu Mbogamboga na hapa Africa Energy Summit muwe wengi vile vile au lugha mzozo?
Kinanta mc na wenzake hatuwezi kuwaona kwenye mkutano wa kuzungumzia mustakabali wa energy Africa ...labda wakisema mitano tenaaLugha na exposure hawana watatuaibisha tu kupiga kelele za mitano tena