Wasanii -Bongo movie siwaoni Energy Summit, tatizo lugha?

Wasanii -Bongo movie siwaoni Energy Summit, tatizo lugha?

Tivu kashafanya yake, jioni ya leo lazima Executives wapate ukaribisho rasmi na miili yao kupoozwa na uchovu wa kikao na Jet lag, ndio kazi ya dada zetu wa bongo movie.
Watotp wake nae watauzwa ivyo ivyo
 
Nyinyi hapa ndio mambumbu, kwasababu mtu hawezi kwenda mahali kama hapo bila kualikwa.
 
Nilitegemea kama mlivyojikusanya Dodoma Mkutano Mkuu Mbogamboga na hapa Africa Energy Summit muwe wengi vile vile au lugha mzozo?
Hivi mbogamboga ndio nini nikiwa huku kazuramimba. 📍📍📍🔨🔨
 
Back
Top Bottom