Wasanii Bongo wanaotumia madawa ya kuongeza Misuli, Steroids

Kuna weza kuwa na ukweli kwani hata Arnold schwrzeneeger kuna kipindi nilisikia amefanyiwa upasuaji wa moyo,pia wengi wa hawa wacheza mieleka wamekuwa wakikutana na vifo vya ghafla wakiwa na umri mdogo inasemekana pia ni kutokana na matumizi makubwa ya Steroids...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…