Wasanii Bongo wanaotumia madawa ya kuongeza Misuli, Steroids

Wasanii Bongo wanaotumia madawa ya kuongeza Misuli, Steroids

Aisee mambo ya kuwa na mwili na Misuli ya kuvutia imepelekea wasanii wengi wajitoe muhanga kula dawa Ili waweze kupata Misuli mikubwa na inayoonekana ilinkuimarisha brand zao.

Niwekee wazi tu SI rahisi Kwa mtu yeyote kubeba vyuma na kuwa na mwili wenye Misuli, hata magwiji kama Anorld, Rambo walikiri kutumia dawa yaani steroids Ili kuboresha muonekano wao.

Hata wewe mwanajamvini ukiamua unanunua na unapiga tizi kidogo sana Misuli hiyo inakuja.

Ukinywa hizi dawa utajazia tu ila hazikuongezi nguvu.

Moja ya madhara ya madawa haya ni ugonjwa wa moyo, pressure, lakini pia ukinywa unapata mzuka sana wa kusex kwakuwa inaongeza testorine hormone

Wasanii wanaokunywa dawa kuongeza Misuli ni Hawa

1. Diamond platnums
2. Harmonize konde
3. Kalisa

Hawa ni wachache ila wapo wengi sana, maromboso aliambiwa asitumie kwakuwa ana ugonjwa wa moyo. Sasa msijekujiuliza mtu alikuwa kimbaumbau Leo Misuli hiyo, hata yule baunsa wa mange ni hivo hivo.

Picha hapa chini ni ng'ombe waliyemnywesha dawa hizo za misuli

View attachment 2291475
Kalisa ana hiyo pesa ya kununulia hizo dawa? Au ananunuliwa?
 
Aisee mambo ya kuwa na mwili na Misuli ya kuvutia imepelekea wasanii wengi wajitoe muhanga kula dawa Ili waweze kupata Misuli mikubwa na inayoonekana ilinkuimarisha brand zao.

Niwekee wazi tu SI rahisi Kwa mtu yeyote kubeba vyuma na kuwa na mwili wenye Misuli, hata magwiji kama Anorld, Rambo walikiri kutumia dawa yaani steroids Ili kuboresha muonekano wao.

Hata wewe mwanajamvini ukiamua unanunua na unapiga tizi kidogo sana Misuli hiyo inakuja.

Ukinywa hizi dawa utajazia tu ila hazikuongezi nguvu.

Moja ya madhara ya madawa haya ni ugonjwa wa moyo, pressure, lakini pia ukinywa unapata mzuka sana wa kusex kwakuwa inaongeza testorine hormone

Wasanii wanaokunywa dawa kuongeza Misuli ni Hawa

1. Diamond platnums
2. Harmonize konde
3. Kalisa

Hawa ni wachache ila wapo wengi sana, maromboso aliambiwa asitumie kwakuwa ana ugonjwa wa moyo. Sasa msijekujiuliza mtu alikuwa kimbaumbau Leo Misuli hiyo, hata yule baunsa wa mange ni hivo hivo.

Picha hapa chini ni ng'ombe waliyemnywesha dawa hizo za misuli

View attachment 2291475
Mkuu za kuongeza butt hamna?
 
Ile ni Misuli, sio nyonyo
Siyo misuli ni side effects za kutumia steriods. Waangalie wote hata Harmonize matiti yalivyovimba. Wakiacha kunyanyua vyuma ndiyo utaona nyonyo kabisa hamna misuli. Halafu hii kitu ni unreversible. Wrecking their bodies chemistry like they do for short term gains means they're in it for life. Hata ma producers maarufu, ma DJs, etc nao wanatumia steroids. You can see it.
 
Siyo misuli ni side effects za kutumia steriods. Waangalie wote hata Harmonize matiti yalivyovimba. Wakiacha kunyanyua vyuma ndiyo utaona nyonyo kabisa hamna misuli. Halafu hii kitu ni unreversible. Wrecking their bodies chemistry like they do for short term gains means they're in it for life. Hata ma producers maarufu, ma DJs, etc nao wanatumia steroids. You can see it.
Dah inasikitisha, kwani lazima kujazia. Kwani kujazia Kuna uhusiano na kuimba
 
Mtoa mada hujui unachokiongea infact unapotosha tu watu. Kuna tofauti kubwa kati ya Whey protein (aka poda) na anabolic steroids.

Wewe hapa unazungumzia protein powder (Whey protein) ambayo ni dietery supplements tu zisizo na madhara yoyote katika mwili.Mtu anayefanya mazoezi mazito anahitaji ziada kubwa ya Protein mwilini ili ajenge misuli ,protein ambayo ni nguku kuipata katika hii misosi tunayokula....ugali mkubwa ,nyama mbili. Wali sahani nzima kwa samaki mmoja.

Ulaji wetu huu hautoshi kuupa mwili protein inayotakiwa ndio maana weigjt lifters hutumia ziada ya whey protein aka (powder) ambayo husaidia kujenga misuli katika eneo husika ambalo linafanyishwa mazoezi example bicep,triceps,back,traps muscles etc. Hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji tofauti na anabolic steroids. Unapofanya mazoezi makali bila ya kula kiwango kikubwa cha protein kunapelekea inbalance ya Nitrogen mwilini ambayo hupelekea mwili ufanye catabolism ya protein (kuvunjwa vunjwa kwa protein) ambapo hupelekea kupungua kwa misuli (kudumaa), Majeraha na muda mrefu wa muscle recovery hivyo whey husaidia kuondoa matatizo haya.Hivyo inapunguza fatigue na kumfanya mtu afanye mazoezi kwa muda mrefu.

Anabolic steroids haya ni madawa ambayo yanaongeza kiwango cha testosterone hormone mwilini.Moja ya Testosterone hormone ni kujenga misuli hivyo inavyokuwa kwa wingi mwilini ndio inaongeza ukuaji usio wa kawaida wa misuli. Anabolic steroids huwa katika mfumo wa vidonge , solution (kwa ajili ya sindano) na gel ya kupaka juu ya ngozi. Licha ya kupelekea mtu kuwa na misuli mikubwa kuliko kawaida ,yaani mazoezi kidogo ila mwili nyumba...haya madawa huwa yana side effects kubwa mno kama vile kutanua moyo hivyo kuongeza hatari ya mtu kufata shambulizi la moyo ambalo linaweza kumpelekea akapooza mwili, korodani kusinyaa yaani kokwa kuwa ndogo kama karanga tu, uchizi (mania), mtu anakuwa aggressive sana kupelekea kudhuru watu au hata kujidhuru mwenyewe, upara (baldness), kuongeza libido kupita kiasi n.k

Chini hapa utaona picha jinsi Anabolic steroids zilivyotofauti na Whey protein (aka Poda)

images-4.jpeg

Hii hapo juu ni Whey Protein


anabolic-steroids.jpg

Hii hapa juu ni picha ya Anabolic Steroids. Ili kujenga misuli na ku-mantain shape mtu anatakiwa achome cycle nyingi za sindano za Steroid kitendo kinachopelekea kuleta madhara makubwa baada ya muda licha ya kuwa mtumiaji atajivunia mwili ambao una muscle definition
 
Watu ckuiz wanapenda shortcuts,halafu waafrica wanaendeza mihadarati Sana kudadeki!
 
Back
Top Bottom