Wasanii hawa hawajawahi kutoka ingawa hawajijui

Wasanii hawa hawajawahi kutoka ingawa hawajijui

kalagabaho

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,457
Reaction score
5,893
1. Kala Jelemiah -

2. Roma Mkatoliki - Huyu ni kama ameimba nyimbo moja tu toka aanze muziki nyimbo zake zote zinafanana- soon atapata stress huyu jamaa

3. Vanessa Mdee- Hajijui kama hajatoka na hawezi kutoka kwa kuwa hana kipaji

4. Luteni Karama- Hajawahi kutoka kama unabisha weka nyimbo iliyomtoa hapa

5. Pingu na Desso- Wanajijua hawajatoka

6. Abdu Kiba- Hajatoka ingawa hajijui

7. Snare

8. Ongeza na wewe
 
Umeharibu mjadala baada ya kuanza na matusi na kashifa! Labda utupe kwanza vigezo vya kuonesha msanii ametoka! Kama mtu anapata show kubwa zote mfano Kala ,Mkatoliki na V money na bado unasema hawajatoka sasa viashilizi vya msanii kutoka ni vipi?
 
SNARE NGOJEAA EAST COAST AMINIAAAA DAH jamaa anajua mziki yupo wapi huyu member wa ECT ARMY.
 
Umeharibu mjadala baada ya kuanza na matusi na kashifa! Labda utupe kwanza vigezo vya kuonesha msanii ametoka! Kama mtu anapata show kubwa zote mfano Kala ,Mkatoliki na V money na bado unasema hawajatoka sasa viashilizi vya msanii kutoka ni vipi?

ndio hapo mkuu V money adi Naija wamempa tuzo mshkaji anadai hajatoka!!!
 
Umeharibu mjadala baada ya kuanza na matusi na kashifa! Labda utupe kwanza vigezo vya kuonesha msanii ametoka! Kama mtu anapata show kubwa zote mfano Kala ,Mkatoliki na V money na bado unasema hawajatoka sasa viashilizi vya msanii kutoka ni vipi?

Aliyetoka anajulikana tu wewe unataka vigezo umekua madame rita wa bss?
 
Wasanii wengi wa tz ni wa promo tu,wengi hawajatoka ila wanatolewa na promo za kufa mtu promo ikikata na wao wanapotea,mcheck shetta,timbulo,dulayo,rich mavoko,samir kinyuli,suma mnazaleti etc,wasanii waliotoka ni kama 20paaa haitaji promo huyo chalii.
 
Wasanii wengi wa tz ni wa promo tu,wengi hawajatoka ila wanatolewa na promo za kufa mtu promo ikikata na wao wanapotea,mcheck shetta,timbulo,dulayo,rich mavoko,samir kinyuli,suma mnazaleti etc,wasanii waliotoka ni kama 20paaa haitaji promo huyo chalii.

Sheta anatakiwa kupewa mtihani wa kuimba mwenyewe maana amezidi kubebwa
 
Nakuuliza tena viashilizi vya msanii aliye toka ni vipi?

Viashirizi ni kutaja nyimbo zilizowatoa na kutamba ndani ya nchi au nje ya mipaka ya nchi na siyo promo za kulazimisha. haya rudi utoe huo uashirizi wako sasa
 
Back
Top Bottom