Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Rugemalira naye si aliumwa hadi kupitisha bakuli!
Kuna magonjwa hata kama ulikuwa na biashara hadi unafirisika.
Kuna dada fulani rafiki yangu alimuuguza mzazi wake hadi akafilisika na akauza hadi gari lakini bado Mungu akamchukua.
Tuombe tu uzima.
Kuna magonjwa hata kama ulikuwa na biashara hadi unafirisika.
Kuna dada fulani rafiki yangu alimuuguza mzazi wake hadi akafilisika na akauza hadi gari lakini bado Mungu akamchukua.
Tuombe tu uzima.