Ni nani kwani😂😂😂😂 noma sana, kwani huyo ni msanii.
Huyo si ni tajiri, ila sielewagi hizo sifa ni za namna gani aisee.
Ni maarufu huko mitandaoniNi nani kwani
Ishakua underrated wanatengeneza fake sanaHennessy hii pombe mpaka iseme 😄 ipo mpaka kwenye viduka vya mangi huku
Hizi imported brands ni kuwa nazo makini sanaIshakua underrated wanatengeneza fake sana
Ni tajiri au ni boya tuNi maarufu huko mitandaoni
Feki zimekuwa nyingi sana ukinywa Henny lazima uwe selective wa viwanja sio unakunywa henny baa ya hovyo hovyo tuHennessy hii pombe mpaka iseme 😄 ipo mpaka kwenye viduka vya mangi huku
Sijui mkuuNi tajiri au ni boya tu
Kama haujawahi kuwa nao karibu unaweza kujua wana hela Sana au wanatumia sanaAcheni kupangia watu na matumizi ya pesa zao. Hata ww usipomchangia wengine watamchangia
Wana hela gani bwana!?...niambie umenunua kazi zao ngapi mwaka jana na huu na show wanafanya ngapi kwa mwaka na wanalipwa sh ngapi?...hawatumii hela vibaya hawana kipato kikubwa tuwachangie tuuzi wako usomeke Wasanii wanatumia vibaya pesa zao kuringishia zikiisha wakiunwa wanakuja kwetu
Ndo maana wanaitwa wasaniiHii mitindo ya wasanii kujifanya wana pesa sana, halafu wakiugua wanapitisha mabakuli ya michango, inakera sana.
View attachment 2982167
Acha ushamba Sasa hivi kazi zinauzwa mtandaoni sio kama zamani wewe halafu kuwa msanii hakumzuii mtu kufanya biashara nyingine fata maisha Yako mzeeWana hela gani bwana!?...niambie umenunua kazi zao ngapi mwaka jana na huu na show wanafanya ngapi kwa mwaka na wanalipwa sh ngapi?...hawatumii hela vibaya hawana kipato kikubwa tuwachangie tu