au kuku kwenye upepo mkali.Chama kimeachwa uchi wa mbuzi
Mbona sasa Mchengerwa anasema hakuna dosari zozote katika zoezi la uandikishaji ? Kweli huu ni utawala uliofitinika.Wizi umekuwa mkubwa na wazi kasi Kwamba chama sasa kinanunuka. Tuhuma na matukio ni kila mahali. Chama kimeachwa uchi wa mbuzi
Sasa kujinasua kwenye hili tope wameamua kujisafisha kwa kuwangushia jumba bovu wengine…
Wakiamua kujibu mapigo…
View attachment 3128643
Unaambiwa ndani ya ccm kuna Kambi 4Mbona sasa Mchengerwa anasema hakuna dosari zozote katika zoezi la uandikishaji ? Kweli huu ni utawala uliofitinika.
ccm haifaiLeo wanasingiziwa wengine
Mbona sasa Mchengerwa anasema hakuna dosari zozote katika zoezi la uandikishaji ? Kweli huu ni utawala uliofitinika.
Hii watu kutojitokeza ni matokea ya uchafuzi wa wazi wa Magufuli kwenye chaguzi zetu.Kumbe "uchafuzi" bado upo? Si mlisema ilikuwa ni kazi ya Magufuli, katangulia mbele ya haki na bado uchafuzi umeongezeka kwa Kasi ya 5G
Ameshapanda mbegu ya uchafuzi.Kumbe "uchafuzi" bado upo? Si mlisema ilikuwa ni kazi ya Magufuli, katangulia mbele ya haki na bado uchafuzi umeongezeka kwa Kasi ya 5G
Kama wenyewe wanakiri hivyo basi na tubatilishe zoezi lote tujipange kwa namna iliyo bora ili ubatili huu tuu ondoshe kwa maslahi ya taifa na sii kwa maslahi ya chama.Je kusuasua kwa uandikishaji haishabiihani na ubatili huu wa nyakati zote?Wacha wapoteane. Tutasikia na kuona mengi.
Wameikana baada ya kuona inachanja mbuga mitandaoniKama wenyewe wanakiri hivyo basi na tubatilishe zoezi lote tujipange kwa namna iliyo bora ili ubatili huu tuu ondoshe kwa maslahi ya taifa na sii kwa maslahi ya chama.Je kusuasua kwa uandikishaji haishabiihani na ubatili huu wa nyakati zote?
Kawaida ukweli utabakia kuwa ukweli hata pale ukweli umetumika kama mzaha.Wameikana baada ya kuona inachanja mbuga mitandaoni