pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hawa ni ccm wenyewe wanacheza na akili za wa Tz!
ccm kimekuwa chama cha kila baya, nilishangaa Nyerere Day wanasema "wanamuenzi Mwalimu"! Shame, wanamkebehi na sio kumuenzi hata kdg!
ccm kimekuwa chama cha kila baya, nilishangaa Nyerere Day wanasema "wanamuenzi Mwalimu"! Shame, wanamkebehi na sio kumuenzi hata kdg!