Wasanii kumi wa bongo ambao hawana nidhamu


Mbona lugha ina tafsida nzuri kabisa kuwakilisha ujumbe wako?
 
Hata wavaa ovyo pia kina Lulu, Shilole,Snura,na wenzao
 
Jamani mwenye picha ya kimbunga huyo!
 
Kwa vile namba 3 hujaiweka basi acha ni iweke.
Kapiteni John Komba. Anatukana tukana hovyo mjengoni na jana kasema kama serikali tatu zitapita ataingia msituni.


Sent from my iPad using JamiiForums

kukata KUNI AU????
 
Naona mr Nice kasahaukika kwenye list maana kwenye nidham ya kazi ni zero kabisa ndo kilicho mpelekea kuangukia pua
 
Naona mr Nice kasahaukika kwenye list maana kwenye nidham ya kazi ni zero kabisa ndo kilicho mpelekea kuangukia pua

utovu wa nidhamu wa hapa ni ule unaoleta kero kwa watu wengine
 
Nadhani kaikosea kidogo coz hakuna namba tatu nahisi kama namba moja akiwa Kala Pina itapendeza zaidi. Mshikaji matusi stage kila kukicha anaishia kuzimiwa mic.
 
Nadhani kaikosea kidogo coz hakuna namba tatu nahisi kama namba moja akiwa Kala Pina itapendeza zaidi. Mshikaji matusi stage kila kukicha anaishia kuzimiwa mic.


Naitwa snipa karibu JF dada luvcesy
!
:msela:
 
Last edited by a moderator:
Nadhani kaikosea kidogo coz hakuna namba tatu nahisi kama namba moja akiwa Kala Pina itapendeza zaidi. Mshikaji matusi stage kila kukicha anaishia kuzimiwa mic.

Sijawahi kupenda muziki wa Kalapina na yeye mwenyewe pia na haitakaa itokee. I love hiphop, ila sio ya dizaini ya Kalapina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…