IT-manager
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 151
- 33
Eti anaingia msituni na kitambi chake kile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Hemed ni mwanaume mwenye dharau sana, siku moja anahojiwa radio clouds kaulizwa ni "jambo lipi baya ulilowahi fanya ukiwa shule" eti kwa dharau akajibu nimewahi mtemea mate usoni msichana mbaya, akimaanisha mbaya wa sura. Akaongeza nilikuwa siwapendi wasichana wabaya. Du, alinichefua siku hiyo, sikuwahi kumpenda toka siku hiyo till now.
Uzito kwenye kukanusha upotoshaji ni jambo la msingi...... Hata Ruge kwa anazoona ni za msingi nimeshasikia akizifafanua kwenye PB asubuhi nzima. Acha kusema mambo yasiyo na ukweli yalishafafanuliwa.