Wasanii kumi wa bongo ambao hawana nidhamu

Wasanii kumi wa bongo ambao hawana nidhamu

Aiseeeeeeeee!?
Kumbe Lina Anaskendo ya KULAWITIWA!? Sikujua hiyo.
 
1. T.I.D
Kauli mbaya na dharau ni kawaida kwake maneno kama mseeenge kuuuma na nk yanauhusiano mzuri na mdomo wake

2. Chidy Benz
Ukisikia kampiga mtu alafu ukashangaa basi utakua mgeni nchini na labda kama hujawai kumsikia msanii huyu.ngumi ndio maisha yake sitoshangaa akiingia kwenye masumbwi mda wowote.alama ya nondo iliyopo upande wa kulia wa kichwa chake ndio ishara tosha ya misukosuko anayokumbana nayo

4. Lord Eyes
Unga unga unga huo ndio wimbo unaomfanya msanii huyu acheze michezo ya wizi kila kukicha ni umaarufu tu unamuokoa watu wanashindwa kumtenda vibaya sababu wanamjua mfano ommy dimpoz aliamua kumpotezea tu kisa anamfahamu.

5. Hemed
Alipokua tusker project fame aliwai kujibizana na jaji ian kiasi cha kutaka kupigana .kifupi ni mtu asiefikiria kabla ya kuzungumza anaweza kukujibu jibu lolote bila kutambua kama yy ni star. Bado hajakua uvumilivu wa kiutu uzima hana mropokaji mzuri sana

6. Dully Skyes
Matusi kwake ni kawaida na dharau kidogo hasa za mdomoni na pia ukiwa unamuhoji kua makini maana anaweza akaongea neno baya redioni bila shaka aliwai kumtongoza dj fetty hewani na kumtukana suddy brown hewani lakini ni muelewa kwani baadae aliomba radhi uswahili na kukosa shule tu vinamsumbua

7. Afande Sele
Kila mtu kagombana na mtu huyu hio ni story ambayo ipo kila kona ya mtaa kuhusu mtu huyu anaongea kwa busara ila akipata mambo yake anaweza kufanya jambo ambalo litakufanya ufikiche macho kuhakikisha kama kafanya yeye au mtu mwingine aliwai kutishia kuua,kuvua nguo jukwaani, na nk

8. Matonya
Huyu yeye ni utapeli tu ndio tatizo lake ukimpa hela ya show kua nae makini sana

9. Mh. Temba
Ukiwa una sikiliza nyimbo ya huyu jamaa usikae na mtu mzima maana utaaibika tu matusi ni moja ya vitu anavyopenda kuvitamka na haonyeshi dalili ya kubadilika kila siku

10. Kimbunga Mchawi
Huyu ni mpya kwenye game ila kitendo chake cha kishujaa kwa mafilauni kimemfanya aingie kwenye top ten yeye alimlawiti Linna Sanga baada ya kumnywesha madawa kwenye kinywaji lakini nashangaa msanii huyu anataka kuitwa kioo cha jamii
Huyu namba 10 kweli mgeni masikioni
 
7. Afande Sele
Kila mtu kagombana na mtu huyu hio ni story ambayo ipo kila kona ya mtaa kuhusu mtu huyu anaongea kwa busara ila akipata mambo yake anaweza kufanya jambo ambalo litakufanya ufikiche macho kuhakikisha kama kafanya yeye au mtu mwingine aliwai kutishia kuua,kuvua nguo jukwaani, na nk
AFANDE.jpg

Hapa baba tunda mizukz ilimpanda,si unajua :majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:

10. Kimbunga Mchawi
Huyu ni mpya kwenye game ila kitendo chake cha kishujaa kwa mafilauni kimemfanya aingie kwenye top ten yeye alimlawiti Linna Sanga baada ya kumnywesha madawa kwenye kinywaji lakini nashangaa msanii huyu anataka kuitwa kioo cha jamii

Kimbunga.jpg

kabaaaaaaaaaaaaaaaaaang

484984_345284182180267_1965669889_n.jpg
 
Hata mwigulu nchemba msanii toka pande za bunge movie aliropoka kuwa ana mkanda wa CDM kuwa ni magaidi mpaka leo hajautoa
 
Kalapina na Dudubaya wanastahili kuwepo hapo,then mtoe Mh.Temba,apart from matusi ya kwenye nyimbo zake hana tatizo na mtu,sijawahi kusikia skendo za ajabu ajabu kutoka kwake atleast anajitambua.Huyo Kimbunga usingemuweka hapo coz hastahili hata kuitwa msanii coz sijawahi kumuelewa anachofanya kwenye mziki,huyo ni muhuni (mvuta bangi fulani) aliyeamua kuingia studio but hana hadhi hata ya kuitwa msanii.
 
Hemed ni shoga kitambo asikuumize kichwa
 
Huyo Hemed ni mwanaume mwenye dharau sana, siku moja anahojiwa radio clouds kaulizwa ni "jambo lipi baya ulilowahi fanya ukiwa shule" eti kwa dharau akajibu nimewahi mtemea mate usoni msichana mbaya, akimaanisha mbaya wa sura. Akaongeza nilikuwa siwapendi wasichana wabaya. Du, alinichefua siku hiyo, sikuwahi kumpenda toka siku hiyo till now.

Wewe ni mzuri mbona inakuuma itakuwa ni mbaya wewe
 
AFANDE.jpg

Hapa baba tunda mizukz ilimpanda,si unajua :majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:



Kimbunga.jpg

kabaaaaaaaaaaaaaaaaaang

484984_345284182180267_1965669889_n.jpg

Duh, nasikia naye anautaka ubunge! Hii nchi hii!!
 
Back
Top Bottom