snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeeeeeee!?
Kumbe Lina Anaskendo ya KULAWITIWA!? Sikujua hiyo.
Huyo hemed kugombana na judge ian hata simlaumu nuksi sana yule
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Huyu namba 10 kweli mgeni masikioni1. T.I.D
Kauli mbaya na dharau ni kawaida kwake maneno kama mseeenge kuuuma na nk yanauhusiano mzuri na mdomo wake
2. Chidy Benz
Ukisikia kampiga mtu alafu ukashangaa basi utakua mgeni nchini na labda kama hujawai kumsikia msanii huyu.ngumi ndio maisha yake sitoshangaa akiingia kwenye masumbwi mda wowote.alama ya nondo iliyopo upande wa kulia wa kichwa chake ndio ishara tosha ya misukosuko anayokumbana nayo
4. Lord Eyes
Unga unga unga huo ndio wimbo unaomfanya msanii huyu acheze michezo ya wizi kila kukicha ni umaarufu tu unamuokoa watu wanashindwa kumtenda vibaya sababu wanamjua mfano ommy dimpoz aliamua kumpotezea tu kisa anamfahamu.
5. Hemed
Alipokua tusker project fame aliwai kujibizana na jaji ian kiasi cha kutaka kupigana .kifupi ni mtu asiefikiria kabla ya kuzungumza anaweza kukujibu jibu lolote bila kutambua kama yy ni star. Bado hajakua uvumilivu wa kiutu uzima hana mropokaji mzuri sana
6. Dully Skyes
Matusi kwake ni kawaida na dharau kidogo hasa za mdomoni na pia ukiwa unamuhoji kua makini maana anaweza akaongea neno baya redioni bila shaka aliwai kumtongoza dj fetty hewani na kumtukana suddy brown hewani lakini ni muelewa kwani baadae aliomba radhi uswahili na kukosa shule tu vinamsumbua
7. Afande Sele
Kila mtu kagombana na mtu huyu hio ni story ambayo ipo kila kona ya mtaa kuhusu mtu huyu anaongea kwa busara ila akipata mambo yake anaweza kufanya jambo ambalo litakufanya ufikiche macho kuhakikisha kama kafanya yeye au mtu mwingine aliwai kutishia kuua,kuvua nguo jukwaani, na nk
8. Matonya
Huyu yeye ni utapeli tu ndio tatizo lake ukimpa hela ya show kua nae makini sana
9. Mh. Temba
Ukiwa una sikiliza nyimbo ya huyu jamaa usikae na mtu mzima maana utaaibika tu matusi ni moja ya vitu anavyopenda kuvitamka na haonyeshi dalili ya kubadilika kila siku
10. Kimbunga Mchawi
Huyu ni mpya kwenye game ila kitendo chake cha kishujaa kwa mafilauni kimemfanya aingie kwenye top ten yeye alimlawiti Linna Sanga baada ya kumnywesha madawa kwenye kinywaji lakini nashangaa msanii huyu anataka kuitwa kioo cha jamii
7. Afande Sele
Kila mtu kagombana na mtu huyu hio ni story ambayo ipo kila kona ya mtaa kuhusu mtu huyu anaongea kwa busara ila akipata mambo yake anaweza kufanya jambo ambalo litakufanya ufikiche macho kuhakikisha kama kafanya yeye au mtu mwingine aliwai kutishia kuua,kuvua nguo jukwaani, na nk
10. Kimbunga Mchawi
Huyu ni mpya kwenye game ila kitendo chake cha kishujaa kwa mafilauni kimemfanya aingie kwenye top ten yeye alimlawiti Linna Sanga baada ya kumnywesha madawa kwenye kinywaji lakini nashangaa msanii huyu anataka kuitwa kioo cha jamii
Huyo Hemed ni mwanaume mwenye dharau sana, siku moja anahojiwa radio clouds kaulizwa ni "jambo lipi baya ulilowahi fanya ukiwa shule" eti kwa dharau akajibu nimewahi mtemea mate usoni msichana mbaya, akimaanisha mbaya wa sura. Akaongeza nilikuwa siwapendi wasichana wabaya. Du, alinichefua siku hiyo, sikuwahi kumpenda toka siku hiyo till now.
Hemed ni shoga kitambo asikuumize kichwa
washkaji wamemuhemea sana kwa kisogo
hivi ustadhi Juma hajapita hapa?
![]()
Hapa baba tunda mizukz ilimpanda,si unajua :majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:
![]()
kabaaaaaaaaaaaaaaaaaang
![]()