Mmmmmh mkuu Diamond ni kama ulevi ukishampenda hata uambiwe nin hutaki kusikia, unajua kwa nin Master Jay kaacha kutengeneza mziki
Una uhakika????Mimi nashangaa eatv/earadio hawajawahi gonga nyimbo ya harmonize&rayvany tokea watoke na hawalalamikiwi ,lakini kwa clouds ni tofauti.
Watanzania wanafiki sana.
Samahani sana mkuu, nilikuwa nataka nifikishe ujumbe tu, sikutaka ni personalise kwako.Ndugu yangu mbona umebandika mm as if ndo niliesema me nimewakilisha mawazo ya wengi na ya wenyewe wahusika, zaidi ya hapo mimi ni mpenz msikilizaji tu
uko sahihi, ni kama Usher Raymond, tangu 1996 akitoa ngoma inakuwa kali anawafunika waliopo halafu anatulia, miaka nenda miaka rudi, hapo nakuunga mkono - Jlo pia ni hivyo naamini ni kujipanga tuMkuu Kama talent ipo na mashairi mazuri yapo sioni sababu ya kusema Haina maana Tena.
Mwanamuziki kama Adele yeye anatoa hits na album juu anakaa kimya muda mrefu na anarudi kukiwasha upya na kuwafunika waliopo kwenye gemu muda wote.
Sasahivi Adele yupo kimya utarudi na album utaona atakachokifanya Ni vunja vunja record zote
Sent using Jamii Forums mobile app