Wasanii mliokuwa mnabaniwa na Ruge huu ndo muda wa kithibitisha kauli zenu

Wasanii mliokuwa mnabaniwa na Ruge huu ndo muda wa kithibitisha kauli zenu

Ningepata list ya watu watano tu waliosema wamebaniwa na clouds wakaanguka kimuziki kuanzia leo naacha kufuatilia mziki
 
Pia ningepata list ya wasanii watano iliyofanikiwa bila ya mkono.wa clouds naacha kufuatilia mziki
 
Ndugu yangu mbona umebandika mm as if ndo niliesema me nimewakilisha mawazo ya wengi na ya wenyewe wahusika, zaidi ya hapo mimi ni mpenz msikilizaji tu
Samahani sana mkuu, nilikuwa nataka nifikishe ujumbe tu, sikutaka ni personalise kwako.
 
Mkuu Kama talent ipo na mashairi mazuri yapo sioni sababu ya kusema Haina maana Tena.

Mwanamuziki kama Adele yeye anatoa hits na album juu anakaa kimya muda mrefu na anarudi kukiwasha upya na kuwafunika waliopo kwenye gemu muda wote.

Sasahivi Adele yupo kimya utarudi na album utaona atakachokifanya Ni vunja vunja record zote



Sent using Jamii Forums mobile app
uko sahihi, ni kama Usher Raymond, tangu 1996 akitoa ngoma inakuwa kali anawafunika waliopo halafu anatulia, miaka nenda miaka rudi, hapo nakuunga mkono - Jlo pia ni hivyo naamini ni kujipanga tu
 
Back
Top Bottom