Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
P. Diddy hajambo?
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Wewe uliyeweka bandiko ndio mshamba

Unatakiwa ujitathmin kwa ulichoandika

Kuhusu burudan, mbeya wanapenda sana burudan na wanajua kutofautisha kati ya siasa na burudan

Kwenye siasa fanya siasa na kwenye burudan fanya burudan

Sisi sio wangese tumelipia pesa zetu kuna kuburudika unatuletea habar za mama mitano tena kwani tupo lumumba? Hzo pigo zuchu akawaletee wangese wenzie uko na sio zuchu tu hapa mbeya msanii yeyote akileta siasa lazima tumzingue

Kuhusu mbeya kuwa jiji, sisi wana mbeya hatujajitangaza kwamba mbeya yetu ni jiji

Swala la mbeya kuwa jiji ni serikali yenu yenyewe imeona kwamba imekidhi vigezo na ndio maana wakaipa hadhi ya jiji, sasa sijui wewe uliyeandika hili bandiko na mamlaka zilizoamua kuipa mbeya hadhi ya jiji nan mwenye akili?
 
Wewe uliyeweka bandiko ndio mshamba

Unatakiwa ujitathmin kwa ulichoandika

Kuhusu burudan, mbeya wanapenda sana burudan na wanajua kutofautisha kati ya siasa na burudan

Kwenye siasa fanya siasa na kwenye burudan fanya burudan

Sisi sio wangese tumelipia pesa zetu kuna kuburudika unatuletea habar za mama mitano tena kwani tupo lumumba? Hzo pigo zuchu akawaletee wangese wenzie uko na sio zuchu tu hapa mbeya msanii yeyote akileta siasa lazima tumzingue

Kuhusu mbeya kuwa jiji, sisi wana mbeya hatujajitangaza kwamba mbeya yetu ni jiji

Swala la mbeya kuwa jiji ni serikali yenu yenyewe imeona kwamba imekidhi vigezo na ndio maana wakaipa hadhi ya jiji, sasa sijui wewe uliyeandika hili bandiko na mamlaka zilizoamua kuipa mbeya hadhi ya jiji nan mwenye akili?
Alafu nashangaa hapa,kwa hiyo wasanii wasipoenda kufanya matamasha huko wana mbeya watapungukiwa na nini!

Ova
 
Back
Top Bottom