KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Nyani ni wale wanaoleta mambo ya MamaSamia2025 kwenye burudaniNawazidi ustaarabu na kujielewa.
Mimi siwezi mrushia mtu chupa ya mikojo kwenye eneo la burudani. Mimi sina tabia za nyani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani ni wale wanaoleta mambo ya MamaSamia2025 kwenye burudaniNawazidi ustaarabu na kujielewa.
Mimi siwezi mrushia mtu chupa ya mikojo kwenye eneo la burudani. Mimi sina tabia za nyani.
We chalii unawashwa kinyamaNyani ni wale wanaoleta mambo ya MamaSamia2025 kwenye burudani
Wewe na ushoga wako Mbeya utaliwa kibuga, dume zima unajikuta mama, wanakuachaje kwa mfani+!+We chalii unawashwa kinyama
P. Diddy hajambo?Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Ndo maana mnakuwa mashoga.yaani unajisifia kula burger? P. Diddy hakukosea kwa kweli kukugegeda.Huwezi kuwa mji una wajanja alafu mnakula viazi maharage na maparachichi tu 😂😂
Ujui burger imebeba nini kwenye kwenye lishe?
Mimi sio chalii ni jibaba, soma profile yangu JF Nina miaka mingapi?We chalii unawashwa kinyama
Hiyo sentensi yako ya kishosti sana. "Wanakuachaje kwa mfano" ni sentensi ya kutamkwa na mashangingi. Mwanaume kaza.wanakuachaje kwa mfani+!+
Mwanaume unajiitaje mama? Wewe ni bwabwaHiyo sentensi yako ya kishosti sana. "Wanakuachaje kwa mfano" ni sentensi ya kutamkwa na mashangingi. Mwanaume kaza.
Wewe uliyeweka bandiko ndio mshambaNimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.
Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.
Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.
Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.
Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.
Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Alafu nashangaa hapa,kwa hiyo wasanii wasipoenda kufanya matamasha huko wana mbeya watapungukiwa na nini!Wewe uliyeweka bandiko ndio mshamba
Unatakiwa ujitathmin kwa ulichoandika
Kuhusu burudan, mbeya wanapenda sana burudan na wanajua kutofautisha kati ya siasa na burudan
Kwenye siasa fanya siasa na kwenye burudan fanya burudan
Sisi sio wangese tumelipia pesa zetu kuna kuburudika unatuletea habar za mama mitano tena kwani tupo lumumba? Hzo pigo zuchu akawaletee wangese wenzie uko na sio zuchu tu hapa mbeya msanii yeyote akileta siasa lazima tumzingue
Kuhusu mbeya kuwa jiji, sisi wana mbeya hatujajitangaza kwamba mbeya yetu ni jiji
Swala la mbeya kuwa jiji ni serikali yenu yenyewe imeona kwamba imekidhi vigezo na ndio maana wakaipa hadhi ya jiji, sasa sijui wewe uliyeandika hili bandiko na mamlaka zilizoamua kuipa mbeya hadhi ya jiji nan mwenye akili?
Hapo labda mwanza, tanga na iringaDar es Salaam
Tanga
Morogoro
Iringa
Mwanza
Hii ni baadhi miji yenye watu wanaojielewa sana.
Focus on ur life... waache wenye yao pia wafocusSawa, ila huwezi niona namrushia mtu mawe. Nina ubinadamu.