sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Kuwaongezea maumivu ya msoto wa maisha wenye roho mbaya kama yako.Hii inakusaidia nini wewe?
1. DavidoMkuu tuma salamu kwa watu 3
[emoji16]1. Davido
2. WizKid
3. Burna Boy
Soon wataelewa ile tweet ya go google me
Usishangae huyu ni chawa wa hapo WCB hawezi kula asipofanya hii kazi.Yupo Level za kina Bakhressa?..acha utani
Mtu aliyefanikiwa apongezwe lakini mafanikio yasiwe kwa ajili ya kutaka kuwanyoosha au kuwakomoa wengine huo tunaita ni ulimbukeni.Baada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake wenye roho mbaya wamepata muhaho.
Nawashauri tu wasanii wa kibongo msishindane na Simba huyo kashashindikana.
Kuna msanii hapa juzi karukaruka sana kujaribu kujipimisha ubavu ila kaishia kupotea watu hawana habari nae tena kabakia kulala hotelini wasanii wake wanaishi studio. Kapigika ile mbaya.
Kwa taarifa tu gari ya kutembelea Diamond imeshaagizwa ni ya mwaka 2021 gari ya ndoto yake.
View attachment 1828145View attachment 1828146View attachment 1828147View attachment 1828148
View attachment 1828149
Lazima wanyooshwe tu hamna namna ...Mtu aliyefanikiwa apongezwe lakini mafanikio yasiwe kwa ajili ya kutaka kuwanyoosha au kuwakomoa wengine huo tunaita ni ulimbukeni.
Lakini kwa nature ya "roho za watanzania" ni bora kuwanyoosha tu wakikuona ni limbukeni,mshamba potelea mbali.
Watoto wa sinza mna tamaa sana ndiyo maana daily mnaliwa vibogaBaada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake wenye roho mbaya wamepata muhaho.
Nawashauri tu wasanii wa kibongo msishindane na Simba huyo kashashindikana.
Ana Lamborghini 3Alikiba gari zake za kifahari kazifungia ndani. Hataki kiki
Tukienda na ukweli Diamond kamzidi pesa MoYupo Level za kina Bakhressa?..acha utani
Sio utani tunapomzungumzia diamond sasa hivi tunmuweka level za wafanyabiashara wakubwa.Yupo Level za kina Bakhressa?..acha utani