Wasanii msishindane na Diamond Platnumz mtafilisika. Yupo level za kina Bakhresa

Wasanii msishindane na Diamond Platnumz mtafilisika. Yupo level za kina Bakhresa

Mtu aliyefanikiwa apongezwe lakini mafanikio yasiwe kwa ajili ya kutaka kuwanyoosha au kuwakomoa wengine huo tunaita ni ulimbukeni.
Lakini kwa nature ya "roho za watanzania" ni bora kuwanyoosha tu wakikuona ni limbukeni,mshamba potelea mbali.
Hiyo inaitwa nipe heshima yangu au niichukue kwa nguvu.
 
Baada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake wenye roho mbaya wamepata muhaho.
Sawa ila level za kina Bakharesa na MO bado hajazifikia hoa ni watu wengine kabisa..
 
Baada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake wenye roho mbaya wamepata muhaho.

View attachment 1828149
Umesahau kumuweka bob wine...hii gari atawatambia akina mwijaku na Hbaba na sisi wengine ugali dona kwa akina wizkidayo,davido na Burnaboy atasubiri sana...
 
Back
Top Bottom