Wasanii msishindane na Diamond Platnumz mtafilisika. Yupo level za kina Bakhresa

Wasanii msishindane na Diamond Platnumz mtafilisika. Yupo level za kina Bakhresa

Domo mpenda Kiki kwa Uber ya Marekani
Mnaminishwa vbaya sana mlivyomamburula na nyi mnaamini,
Mlipoambiwa hana pesa ya kununua jipya ndio maana kachukua kwa mtu mkaitikia, mmeambiwa ni gari ya kawaida marekani mnakubali,watawaambia kachukia kwa mkopo mtakubali
Ila tu kumbuka kwanza ndio gari analotumia Raisi, pili usifananishe maiaha ya hapa kwenu na marekani
 
Write your reply...V Arusha kuna advocate anaitwa Mwale, alikuwa nalo hili
 
Ama kweli habari za tajiri muulize kapuku, anajua A to Z mpaka mawaki anaosugulia,hongereni sana makapuku kwa ujuvi wenu
 
Magari sio yake ni ya Joseph Kusaga.
 
Baada ya Super dupa staa Diamond kuingiza Cadillac escalade nyingine kwa ajili ya wasaidizi wake kwenye msafara ataokuwa akienda kwenye matukio mbalimbali. Mji umesimama kila mtu anasema la kwake wenye roho mbaya wamepata muhaho.

Nawashauri tu wasanii wa kibongo msishindane na Simba huyo kashashindikana.

Kuna msanii hapa juzi karukaruka sana kujaribu kujipimisha ubavu ila kaishia kupotea watu hawana habari nae tena kabakia kulala hotelini wasanii wake wanaishi studio. Kapigika ile mbaya.

Kwa taarifa tu gari ya kutembelea Diamond Platnumz imeshaagizwa ni ya mwaka 2021 gari ya ndoto yake.

View attachment 1828145View attachment 1828146View attachment 1828147View attachment 1828148
View attachment 1828149
unampa ujumbe Mrisho mpoto au?
 
Umekaririshwa na dada yako Mange sio😂? Kama Trump na JayZ wanaendesha hizo Uber ,kuna ubaya gani Mond kuziendesha?
Kubali-kataa Domo mshamba. Celebrity unatembelea V8? Cadillac?
 
Kubali-kataa Domo mshamba. Celebrity unatembelea V8? Cadillac?

Nyie danganyaneni na huyo Mange wenu huko insta.Mtu anawaambia kuwa Cadillac ni gari ya kawaida inatumika kama Uber huko marekani mnakubali, ilhali yeye aliyeko huko marekani hawezi kuimiliki.

Unaiponda Cadillac na hauna 1b kwenye account zako una akili wewe??
 
Nyie danganyaneni na huyo Mange wenu huko insta.Mtu anawaambia kuwa Cadillac ni gari ya kawaida inatumika kama Uber huko marekani mnakubali, ilhali yeye aliyeko huko marekani hawezi kuimiliki.

Unaiponda Cadillac na hauna 1b kwenye account zako una akili wewe??
Jina la kwenye Gari Ni nani?
 
Nyie danganyaneni na huyo Mange wenu huko insta.Mtu anawaambia kuwa Cadillac ni gari ya kawaida inatumika kama Uber huko marekani mnakubali, ilhali yeye aliyeko huko marekani hawezi kuimiliki.

Unaiponda Cadillac na hauna 1b kwenye account zako una akili wewe??
Gari ya 1b inakuaje UBER?
 
Gari ya 1b inakuaje UBER?
Ikiwa unaipondea Uber inayonunuliwa kwa mamilion ya pesa,natarajia kwamba wewe utakuwa na zaidi ya 1b kwenye account zako.
Kama hauna huo mzigo wa pesa na umekuja hapa kukejeli gari aliyonunua msela,nakuchukulia kama bonge la boya tu.
 
Gari ya 1b inakuaje UBER?
Kwani wenye pesa hawahitaji usafiri wa dharura?
20210625_185919.jpg
 
Kuna watu huwaambii lolote kuhusiana na huyu mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaweza hata kumwabudu
 
Hiyo inaitwa nipe heshima yangu au niichukue kwa nguvu.
Ni kweli kabisa. Huyu kijana kwa sasa apambanishwe na wafanyabiashara wakubwa kama Shigongo na wengine. Wasanii wenzie kawaacha mbali sana. Na inavyoonekana bado ataongeza gap kwa mbali sana. Diamond ni kama Yousor Ndour wa Senegal. Atakuja kuweka gap kubwa sana ya utajiri kwa wanamuziki wa Afrika Mashariki na kati.
 
1. Davido
2. WizKid
3. Burna Boy

Soon wataelewa ile tweet ya go google me
Sasa hao uliowataja domokaya wako anawazidi kwa lipi hasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mtaharisha mwaka huu, leo usiku mnakufa vibudu kwa kuangukia pua BET awards. Lol
 
Back
Top Bottom