Wasanii na Celebrities wa Bongo mjifunze kupitia Colonel Mustafa, maana suala la akiba ni Kitendawili kwenu

Wasanii na Celebrities wa Bongo mjifunze kupitia Colonel Mustafa, maana suala la akiba ni Kitendawili kwenu

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
2buRU0dO75NSYwueugG79nL2XDJmefwhvi1AYIYq.jpg


Mapema wiki hii, imetrend habari imuhusuyo aliyekuwa Rapa Maarufu nchini Kenya, Colonel Mustafa baada ya kuonekana akifanya kazi za Ujenzi.

Katika mahojiano rapa huyo alikiri kuwa amelazimika kuingia mzigoni ili apate fedha za kumtibia Mama yake aliye mgonjwa wa Saratani. Wakenya wenye roho safi walijitolea kumchangia huku wengine wakipinga kwa kuhoji inakuwaje mtu mwenye uwezo wa kupata Ksh. 950,000 kwa mwezi kushindwa kuweka akiba?

Maswali ni Je, wanajua kuwa kuna dharura? Ugonjwa, ajali au kufilisika? Matukio kama hayo kama huna akiba utajua hujui, yaani hata kama kuna ndugu wa kukusaidia watachoka na cha moto utakiona.

Sasa basi ni vyema Maselebrity wetu kujifunza na kuchukua hatua kutokana na hili. Hii iwe tahadhari kwa wanamuziki na watu maarufu wa Tanzania kuwa makini na tabia zao za matumizi na mipango ya kifedha kwa ajili ya siku zijazo.

Na ili kuepuka kusimangwa wakati wa kuchangiwa ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-

Weka akiba ya sehemu ya mapato yako kwa ajili ya matukio yasiyotarajiwa, dharura, na kustaafu. Hii inaweza kufanikiwa kwa kuwekeza, kuanzisha akaunti ya akiba, au hata kununua bima. Hautaimba au kuigiza milele, na kuna wakati soko lako kama brand linashuka, huu ndo wakati wa kutumia akiba huku ukisikilizia mishe zingine

Epukeni matumizi makubwa kwa matumizi yasiyo ya lazima na weka kipaumbele cha matumizi yako kwenye mambo muhimu zaidi. Mambo ya Kidimbwi kila Jumapili, sjui Elements kupop Moet na Kuletewa Henessy na Vitaa mpunguze

Wekeza katika biashara au sekta nyingine, au hata kujaribu fani ya uigizaji au fani nyingine zinazohusiana.

Tafuta ushauri wa kitaalam wa kifedha: Ni muhimu kutafuta ushauri wa kitaalam kutoka kwa washauri wa kifedha, wahasibu, au mawakili. Wataalam hawa wanaweza kukusaidia kufanya maamuzi sahihi na kukuelekeza kuelekea utulivu wa kifedha. Wengi wenu hata wana sheria hamna

Usipozingatia yanaweza yakakutokea yaliyomtokea Colonel au makubwa zaidi, halafu muanze kulia kulia Tanzania haiwathamini wanamuziki na wasanii wakongwe

Mwenye masikio na asikie
 
2buRU0dO75NSYwueugG79nL2XDJmefwhvi1AYIYq.jpg



Mapema wiki hii, imetrend habari imuhusuyo aliyekuwa Rapa Maarufu nchini Kenya, Colonel Mustafa baada ya kuonekana akifanya kazi za Ujenzi

Katika mahojiano rapa huyo alikiri kuwa amelazimika kuingia mzigoni ili apate fedha za kumtibia Mama yake aliye mgonjwa wa Saratani. Wakenya wenye roho safi walijitolea kumchangia huku wengine wakipinga kwa kuhoji inakuwaje mtu mwenye uwezo wa kupata Ksh. 950,000 kwa mwezi kushindwa kuweka akiba?

Maswali ni Je, wanajua kuwa kuna dharura? Ugonjwa, ajali au kufilisika? Matukio kama hayo kama huna akiba utajua hujui, yaani hata kama kuna ndugu wa kukusaidia watachoka na cha moto utakiona

Sasa basi ni vyema Maselebrity wetu kujifunza na kuchukua hatua kutokana na hili. Hii iwe tahadhari kwa wanamuziki na watu maarufu wa Tanzania kuwa makini na tabia zao za matumizi na mipango ya kifedha kwa ajili ya siku zijazo.

Na ili kuepuka kusimangwa wakati wa kuchangiwa ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-

Weka akiba ya sehemu ya mapato yako kwa ajili ya matukio yasiyotarajiwa, dharura, na kustaafu. Hii inaweza kufanikiwa kwa kuwekeza, kuanzisha akaunti ya akiba, au hata kununua bima. Hautaimba au kuigiza milele, na kuna wakati soko lako kama brand linashuka, huu ndo wakati wa kutumia akiba huku ukisikilizia mishe zingine

Epukeni matumizi makubwa kwa matumizi yasiyo ya lazima na weka kipaumbele cha matumizi yako kwenye mambo muhimu zaidi. Mambo ya Kidimbwi kila Jumapili, sjui Elements kupop Moet na Kuletewa Henessy na Vitaa mpunguze

Wekeza katika biashara au sekta nyingine, au hata kujaribu fani ya uigizaji au fani nyingine zinazohusiana.

Tafuta ushauri wa kitaalam wa kifedha: Ni muhimu kutafuta ushauri wa kitaalam kutoka kwa washauri wa kifedha, wahasibu, au mawakili. Wataalam hawa wanaweza kukusaidia kufanya maamuzi sahihi na kukuelekeza kuelekea utulivu wa kifedha. Wengi wenu hata wana sheria hamna

Usipozingatia yanaweza yakakutokea yaliyomtokea Colonel au makubwa zaidi, halafu muanze kulia kulia Tanzania haiwathamini wanamuziki na wasanii wakongwe

Mwenye masikio na asikie
Maisha yanaenda kasi sana.
 
2buRU0dO75NSYwueugG79nL2XDJmefwhvi1AYIYq.jpg



Mapema wiki hii, imetrend habari imuhusuyo aliyekuwa Rapa Maarufu nchini Kenya, Colonel Mustafa baada ya kuonekana akifanya kazi za Ujenzi

Katika mahojiano rapa huyo alikiri kuwa amelazimika kuingia mzigoni ili apate fedha za kumtibia Mama yake aliye mgonjwa wa Saratani. Wakenya wenye roho safi walijitolea kumchangia huku wengine wakipinga kwa kuhoji inakuwaje mtu mwenye uwezo wa kupata Ksh. 950,000 kwa mwezi kushindwa kuweka akiba?

Maswali ni Je, wanajua kuwa kuna dharura? Ugonjwa, ajali au kufilisika? Matukio kama hayo kama huna akiba utajua hujui, yaani hata kama kuna ndugu wa kukusaidia watachoka na cha moto utakiona

Sasa basi ni vyema Maselebrity wetu kujifunza na kuchukua hatua kutokana na hili. Hii iwe tahadhari kwa wanamuziki na watu maarufu wa Tanzania kuwa makini na tabia zao za matumizi na mipango ya kifedha kwa ajili ya siku zijazo.

Na ili kuepuka kusimangwa wakati wa kuchangiwa ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-

Weka akiba ya sehemu ya mapato yako kwa ajili ya matukio yasiyotarajiwa, dharura, na kustaafu. Hii inaweza kufanikiwa kwa kuwekeza, kuanzisha akaunti ya akiba, au hata kununua bima. Hautaimba au kuigiza milele, na kuna wakati soko lako kama brand linashuka, huu ndo wakati wa kutumia akiba huku ukisikilizia mishe zingine

Epukeni matumizi makubwa kwa matumizi yasiyo ya lazima na weka kipaumbele cha matumizi yako kwenye mambo muhimu zaidi. Mambo ya Kidimbwi kila Jumapili, sjui Elements kupop Moet na Kuletewa Henessy na Vitaa mpunguze

Wekeza katika biashara au sekta nyingine, au hata kujaribu fani ya uigizaji au fani nyingine zinazohusiana.

Tafuta ushauri wa kitaalam wa kifedha: Ni muhimu kutafuta ushauri wa kitaalam kutoka kwa washauri wa kifedha, wahasibu, au mawakili. Wataalam hawa wanaweza kukusaidia kufanya maamuzi sahihi na kukuelekeza kuelekea utulivu wa kifedha. Wengi wenu hata wana sheria hamna

Usipozingatia yanaweza yakakutokea yaliyomtokea Colonel au makubwa zaidi, halafu muanze kulia kulia Tanzania haiwathamini wanamuziki na wasanii wakongwe

Mwenye masikio na asikie
Mleta mada unataka kusema wasanii wote hawajui kuwekeza na kuweka akiba??? Umewahi kuuguza mtu anayeumwa kwa uchache miaka 5 mfululizo????? Unaijua saratani na matibabu yake???? Unayajua magonjwa ya muda mrefu???????

Nakupa mfano: Diamond unamuona ni tajiri ila siku mama yake ikitokea (hatuombei ikatokea) akipata ugonjwa wa muda mrefu hata miaka mitatu mfululizo utakuja kusema kuwa hakuweka akiba na kuwekeza!!!!!!!!!!

Kamuulize Prof Jay, kaiulize familia ya Mkono kuhusu kuuguza magonjwa ya muda mrefu!!!!!!!!!!!!!!!

Punguza ujuaji wa kishamba!!!!!!! Kwenye maisha kuna mitihani mizito inakuja na hata uwe umewekeza na kuweka akiba utayumba tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Celebrity wabongo WA sahivi wasenge wasenge tu [emoji3][emoji3]kama harmonize anakazi ya kugawa range tu halafu baadae akifulia kama felooz wanaanza kutia huruma,na Kuna kile kidogo ki marioo nachenyewe kimeingia mkenge WA kajala
Rage atoe wapi maigizo tu yale ili kupata followers wengi. Wanajua wafuatiliaji wa umbea wanasisimshwa sana na habari mlipuko kama zile.

Kuna kipindi fulani kuna producer wa muda mrefu sana wa video za muziki. Kipindi Diamond alipokwenda South Africa na Davido kufanya shooting ya wimbo wao ule sijui my number one, yule producer wa Tanzania akaulizwa kuwa inakuwaje wasanii wanaenda sana South Africa na kutumika kampuni za huko badala ya za hapa nyumbani. Jamaa akajibu hata yeye anashangaa wasanii wakienda huko wanatoa pesa huku wanatukopa.

Mtangazaji akamuuliza "unasema?!" Yule producer akasema kama kuna msanii alishawahi nilipa mimi hata milioni tatu tu naomba aje hapa ajitaje na ushahidi nitamtolea video ya wimbo wake mpya buure kwa gharama zangu. Jamaa kasema wazi wasanii huwa wanalia na kuomba kusaidiwa ili watolewe video zao au watatoa pesa kidogo.

Sasa kiukweli wasanii wetu wanakipato cha kawaida na kwa wale wenye kipato kizuri huwezi wakuta wanaongea ongea maana pesa huwa haikai kwa mtu muongeaji ila mtendaji.

Sasa jana natazama kipindi channel 5 producer aliyeproduce ile nyimbo ya zuchu inaitwa "Napambana" sijui. Anasema imegharimu milioni 36.[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unaijua kwa milioni 36 ?!


Nikaona vijana bado hawapo serious na showbiz na ndio maana hata mashabiki hawawachukulii serious. Nenda naijeria hapo wasanii wapo real sana na fans wao. Si kwenye filamu si kwenye muziki na ndio maana ni matajiri sababu wanapata sapoti ya ukweli.
 
Rage atoe wapi maigizo tu yale ili kupata followers wengi. Wanajua wafuatiliaji wa umbea wanasisimshwa sana na habari mlipuko kama zile.

Kuna kipindi fulani kuna producer wa muda mrefu sana wa video za muziki. Kipindi Diamond alipokwenda South Africa na Davido kufanya shooting ya wimbo wao ule sijui my number one, yule producer wa Tanzania akaulizwa kuwa inakuwaje wasanii wanaenda sana South Africa na kutumika kampuni za huko badala ya za hapa nyumbani. Jamaa akajibu hata yeye anashangaa wasanii wakienda huko wanatoa pesa huku wanatukopa.

Mtangazaji akamuuliza "unasema?!" Yule producer akasema kama kuna msanii alishawahi nilipa mimi hata milioni tatu tu naomba aje hapa ajitaje na ushahidi nitamtolea video ya wimbo wake mpya buure kwa gharama zangu. Jamaa kasema wazi wasanii huwa wanalia na kuomba kusaidiwa ili watolewe video zao au watatoa pesa kidogo.

Sasa kiukweli wasanii wetu wanakipato cha kawaida na kwa wale wenye kipato kizuri huwezi wakuta wanaongea ongea maana pesa huwa haikai kwa mtu muongeaji ila mtendaji.

Sasa jana natazama kipindi channel 5 producer aliyeproduce ile nyimbo ya zuchu inaitwa "Napambana" sijui. Anasema imegharimu milioni 36.[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unaijua kwa milioni 36 ?!


Nikaona vijana bado hawapo serious na showbiz na ndio maana hata mashabiki hawawachukulii serious. Nenda naijeria hapo wasanii wapo real sana na fans wao. Si kwenye filamu si kwenye muziki na ndio maana ni matajiri sababu wanapata sapoti ya ukweli.
Mziki Tz bado hauna pesa za kumtosha Mtu kuhonga range it about show biz

Kanumba alikuwa anapanga nyumba moja na Ndugu yangu so Jamaa alikuwa Anaishi life simple tofauti na life la video tunaliona kwa video.
 
Back
Top Bottom