Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Hili linatuhusu wote hata tusio ma celebritFor real, ila humu sidhani kama kuna celebrities
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili linatuhusu wote hata tusio ma celebritFor real, ila humu sidhani kama kuna celebrities
anaitwa Maryana na wimbo ule mkali mpaka leoDu jamaa alikujaga na pisi Kali kwenye Ile Ngoma ya Nataka kusema
Huyu demu alikua wa moto Sana aisee enzi zile akaja achia lile Pini na "Chokoza" akiwa na arvil ndo Hadi likawa linatumika kama jingo pale EATV kwenye Friday Night Live FNLanaitwa Maryana na wimbo ule mkali mpaka leo
kwanza nimpongeze sana jamaa maana hakujali kuabika wala nini ili kusimama na mama yake naamini Mungu yupo ipo siku atapata malipo yake na cha msingi radhi ya mama yake. Jamani tusidhanie pia ni mzembe hatuwezi jua maana ugonjwa wenyewe uliotajwa hata matajiri unawasumbua mno kifedha ni ugonjwa ambao unagarama kubwa mno. Inawezekana jamaa umemkwangua pesa yote. Siyo kila aliyekuwa nazo akifilisika ni kuwa hana akili au hakuwa akisevu . kuna mambo mengi, kuibiwa , kudhulumiwa n.kRage atoe wapi maigizo tu yale ili kupata followers wengi. Wanajua wafuatiliaji wa umbea wanasisimshwa sana na habari mlipuko kama zile.
Kuna kipindi fulani kuna producer wa muda mrefu sana wa video za muziki. Kipindi Diamond alipokwenda South Africa na Davido kufanya shooting ya wimbo wao ule sijui my number one, yule producer wa Tanzania akaulizwa kuwa inakuwaje wasanii wanaenda sana South Africa na kutumika kampuni za huko badala ya za hapa nyumbani. Jamaa akajibu hata yeye anashangaa wasanii wakienda huko wanatoa pesa huku wanatukopa.
Mtangazaji akamuuliza "unasema?!" Yule producer akasema kama kuna msanii alishawahi nilipa mimi hata milioni tatu tu naomba aje hapa ajitaje na ushahidi nitamtolea video ya wimbo wake mpya buure kwa gharama zangu. Jamaa kasema wazi wasanii huwa wanalia na kuomba kusaidiwa ili watolewe video zao au watatoa pesa kidogo.
Sasa kiukweli wasanii wetu wanakipato cha kawaida na kwa wale wenye kipato kizuri huwezi wakuta wanaongea ongea maana pesa huwa haikai kwa mtu muongeaji ila mtendaji.
Sasa jana natazama kipindi channel 5 producer aliyeproduce ile nyimbo ya zuchu inaitwa "Napambana" sijui. Anasema imegharimu milioni 36.[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unaijua kwa milioni 36 ?!
Nikaona vijana bado hawapo serious na showbiz na ndio maana hata mashabiki hawawachukulii serious. Nenda naijeria hapo wasanii wapo real sana na fans wao. Si kwenye filamu si kwenye muziki na ndio maana ni matajiri sababu wanapata sapoti ya ukweli.
ila sasa hivi kanenepa mno ule uzuri umepunguaHuyu demu alikua wa moto Sana aisee enzi zile akaja achia lile Pini na "Chokoza" akiwa na arvil ndo Hadi likawa linatumika kama jingo pale EATV kwenye Friday Night Live FNL
Da Maisha kupanda na kushuka aisee.. Ile huyo mwamba nilikua namkubali Sana yeye na Collo nimekaa Sana Kenya hawa jamaa kuna muda walitamba Sana.ila sasa hivi kanenepa mno ule uzuri umepungua
inasemekana hapa jamaa alichapiwa na Nchakalianaitwa Maryana na wimbo ule mkali mpaka leo
Kwa kweliii, wasanii hamna kitu ni fake tyuuhRage atoe wapi maigizo tu yale ili kupata followers wengi. Wanajua wafuatiliaji wa umbea wanasisimshwa sana na habari mlipuko kama zile.
Kuna kipindi fulani kuna producer wa muda mrefu sana wa video za muziki. Kipindi Diamond alipokwenda South Africa na Davido kufanya shooting ya wimbo wao ule sijui my number one, yule producer wa Tanzania akaulizwa kuwa inakuwaje wasanii wanaenda sana South Africa na kutumika kampuni za huko badala ya za hapa nyumbani. Jamaa akajibu hata yeye anashangaa wasanii wakienda huko wanatoa pesa huku wanatukopa.
Mtangazaji akamuuliza "unasema?!" Yule producer akasema kama kuna msanii alishawahi nilipa mimi hata milioni tatu tu naomba aje hapa ajitaje na ushahidi nitamtolea video ya wimbo wake mpya buure kwa gharama zangu. Jamaa kasema wazi wasanii huwa wanalia na kuomba kusaidiwa ili watolewe video zao au watatoa pesa kidogo.
Sasa kiukweli wasanii wetu wanakipato cha kawaida na kwa wale wenye kipato kizuri huwezi wakuta wanaongea ongea maana pesa huwa haikai kwa mtu muongeaji ila mtendaji.
Sasa jana natazama kipindi channel 5 producer aliyeproduce ile nyimbo ya zuchu inaitwa "Napambana" sijui. Anasema imegharimu milioni 36.[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unaijua kwa milioni 36 ?!
Nikaona vijana bado hawapo serious na showbiz na ndio maana hata mashabiki hawawachukulii serious. Nenda naijeria hapo wasanii wapo real sana na fans wao. Si kwenye filamu si kwenye muziki na ndio maana ni matajiri sababu wanapata sapoti ya ukweli.
Hiyo ni miaka michache unamuuguza mgonjwa!!!!!!!! Wakati huo maisha mengine yanatakiwa yaendelee!!!!!!!!!! Mtoa mada naomba uniambie kwa uwekaji wako wa akiba na kuwekeza utatoboa?????![]()
Mapema wiki hii, imetrend habari imuhusuyo aliyekuwa Rapa Maarufu nchini Kenya, Colonel Mustafa baada ya kuonekana akifanya kazi za Ujenzi.
Katika mahojiano rapa huyo alikiri kuwa amelazimika kuingia mzigoni ili apate fedha za kumtibia Mama yake aliye mgonjwa wa Saratani. Wakenya wenye roho safi walijitolea kumchangia huku wengine wakipinga kwa kuhoji inakuwaje mtu mwenye uwezo wa kupata Ksh. 950,000 kwa mwezi kushindwa kuweka akiba?
Maswali ni Je, wanajua kuwa kuna dharura? Ugonjwa, ajali au kufilisika? Matukio kama hayo kama huna akiba utajua hujui, yaani hata kama kuna ndugu wa kukusaidia watachoka na cha moto utakiona.
Sasa basi ni vyema Maselebrity wetu kujifunza na kuchukua hatua kutokana na hili. Hii iwe tahadhari kwa wanamuziki na watu maarufu wa Tanzania kuwa makini na tabia zao za matumizi na mipango ya kifedha kwa ajili ya siku zijazo.
Na ili kuepuka kusimangwa wakati wa kuchangiwa ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-
Weka akiba ya sehemu ya mapato yako kwa ajili ya matukio yasiyotarajiwa, dharura, na kustaafu. Hii inaweza kufanikiwa kwa kuwekeza, kuanzisha akaunti ya akiba, au hata kununua bima. Hautaimba au kuigiza milele, na kuna wakati soko lako kama brand linashuka, huu ndo wakati wa kutumia akiba huku ukisikilizia mishe zingine
Epukeni matumizi makubwa kwa matumizi yasiyo ya lazima na weka kipaumbele cha matumizi yako kwenye mambo muhimu zaidi. Mambo ya Kidimbwi kila Jumapili, sjui Elements kupop Moet na Kuletewa Henessy na Vitaa mpunguze
Wekeza katika biashara au sekta nyingine, au hata kujaribu fani ya uigizaji au fani nyingine zinazohusiana.
Tafuta ushauri wa kitaalam wa kifedha: Ni muhimu kutafuta ushauri wa kitaalam kutoka kwa washauri wa kifedha, wahasibu, au mawakili. Wataalam hawa wanaweza kukusaidia kufanya maamuzi sahihi na kukuelekeza kuelekea utulivu wa kifedha. Wengi wenu hata wana sheria hamna
Usipozingatia yanaweza yakakutokea yaliyomtokea Colonel au makubwa zaidi, halafu muanze kulia kulia Tanzania haiwathamini wanamuziki na wasanii wakongwe
Mwenye masikio na asikie