Wasanii na Celebrities wa Bongo mjifunze kupitia Colonel Mustafa, maana suala la akiba ni Kitendawili kwenu

anaitwa Maryana na wimbo ule mkali mpaka leo
Huyu demu alikua wa moto Sana aisee enzi zile akaja achia lile Pini na "Chokoza" akiwa na arvil ndo Hadi likawa linatumika kama jingo pale EATV kwenye Friday Night Live FNL
 
kwanza nimpongeze sana jamaa maana hakujali kuabika wala nini ili kusimama na mama yake naamini Mungu yupo ipo siku atapata malipo yake na cha msingi radhi ya mama yake. Jamani tusidhanie pia ni mzembe hatuwezi jua maana ugonjwa wenyewe uliotajwa hata matajiri unawasumbua mno kifedha ni ugonjwa ambao unagarama kubwa mno. Inawezekana jamaa umemkwangua pesa yote. Siyo kila aliyekuwa nazo akifilisika ni kuwa hana akili au hakuwa akisevu . kuna mambo mengi, kuibiwa , kudhulumiwa n.k
 
Huyu demu alikua wa moto Sana aisee enzi zile akaja achia lile Pini na "Chokoza" akiwa na arvil ndo Hadi likawa linatumika kama jingo pale EATV kwenye Friday Night Live FNL
ila sasa hivi kanenepa mno ule uzuri umepungua
 
ila sasa hivi kanenepa mno ule uzuri umepungua
Da Maisha kupanda na kushuka aisee.. Ile huyo mwamba nilikua namkubali Sana yeye na Collo nimekaa Sana Kenya hawa jamaa kuna muda walitamba Sana.
Hata hizo picha zinazotrendi akifanya saidia fundi naona kama ndoto Maisha haya!!!!.
 
Kuna vitu ukikutana navyo lazima uivie Moshi. Kuna kesi mahakamani na kuuguza mgonjww
 
Kwa kweliii, wasanii hamna kitu ni fake tyuuh
 
Hiyo ni miaka michache unamuuguza mgonjwa!!!!!!!! Wakati huo maisha mengine yanatakiwa yaendelee!!!!!!!!!! Mtoa mada naomba uniambie kwa uwekaji wako wa akiba na kuwekeza utatoboa?????

Jaribu kuongea na Ocean Road Cancer Institute wakupe hali halisi ya kumuuguza mgonjwa wa cancer!!!!!!!!!

Post Address P.O.Box 3592
Tel: 2127597
Email: info@orci.or.tz
Dar Es Salaam. Tanzania

World Cancer Day 2017: Effective cure will happen in five ...​


The Independent
https://www.independent.co.uk › ... › Health News



2 Feb 2017 — An effective cure for all types of cancer could be just five to 10 years away, according to one of the world's leading experts on the ...


Understanding the Difference Between Cure and Remission
In a complete remission, all signs and symptoms of cancer have disappeared. If you remain in complete remission for 5 years or more, some doctors may say that you are cured.17 Jun 2019

Understanding Cancer Prognosis - NCI​


National Cancer Institute (.gov)
https://www.cancer.gov › about-cancer › diagnosis-staging

Nb: Omba Mungu akuepushe na kikombe hiki cha kuuguza mtu anayeumwa magonjwa ya muda mrefu kansa ni mfano tu!!!!!!! Halafu usione wewe ndiye unajua kuhusu kuweka akiba na kuwekeza!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Weka ngoma yake... Tumkumbuke...
 
Ugonjwa usikie tu... ingekuwa msanii mwingine sawa ila colonel mustafa ni moja ya wasanii waliokuwa wamejiwekeza kwenye biashara na mpunga alikuwa nao kimtindo... itakuwa gharama za matibabu zimemzidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…