Wasanii na changia CCM

Wasanii na changia CCM

Mkaa Mweupe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2007
Posts
654
Reaction score
183
Hivi ukichangia unapata T-Shirt?

msanii3.jpgmsanii2.jpgmsanii4.jpgmsanii1.jpg
 
lazima tuwe wapole tu maana,fitina yao mmmm ni baraaaa.wameona mbali hao wasaniii maana maisha ya kibongo ni tumikia kafiri upate wa
 
wasipofanya hivyo watazimwa, radio zote zitapigwa mkwara zisipige nyimbo zao.
 
sumaye si alisema mkuu, ukitaka mambo yako yawe mswano.....jiunge na chama chao....hao jamaa wamesoma alama za nyakati...
 
Flora mbasha nimlokole wa kweli anamwimbia mungu alafu anakodishwa na CCM, hii kwaya biashara
 
kikwete ameahidi kuwafungulia studio hao, studio kubwa kuliko ndani ya Afrika mashariki na kati
 
Back
Top Bottom