Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
 
Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana
Tunawashauri vijana mkipqta hela acheni akiba. Mnatuona Washamba.

Hapo Dar kuna matajiri wengi sana tena Ilala nyumbani kwao.

Hakuna mtu ambaye alipata pesa akajinyima na kuwekeza, wewe za kwako unasema Maisha Yenyewe mafupi acheni tule ya ujan🎺🎻🎹 ×2.

Wewe zako ule bata ukiugua utake kutumia za wenzako waliojibana.

Hapo ilala kuna matajiri kibao
 
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Kweli maisha usipojipanga yanakupanga. Chid huyu huyu kafika hapa. noma sana
 
Juzi natoka katika show ya Friday night live ndo nimekaa na Chid Benz jamaa anaumwa Sana huo mguu unanuka hatari na mbaya zaidi jamaa anakaa amelewa 24/7 kutembea vizuri hawezi na akivaa kiatu ngozi inabaki ndani
Mdogo wake chibu tu swala dogo hili analimaliza,,,,,yeye aende tu na makamera ya kutosha atasaidiwa,,, watu wanapenda show off
 
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Sasa tatizo hapo ni Watanzania au Chid mwenyewe maana akipata hela anaenda kula UNGA,kunywa pombe na kuvutia bange
 
Back
Top Bottom