Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Sasa tatizo hapo ni Watanzania au Chid mwenyewe maana akipata hela anaenda kula UNGA,kunywa pombe na kuvutia bange
Huyu kashakosea.. alitoka nje ya mstari na mm naamini alivyokua kwenye dira yake na michongo alisaidia watu. Alikula na kugawana na watu, aliwa-inspire wengine na alikuwa kioo na mfano. Leo hii mud wake umepita kama ilivyo na itakavyokuwa kwa wengine.

Watanzania tumpiganie, watu walijivunia sana uwepo wake enzi hiyo Chi chi chi chidy ben'gq
 
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Best rapa tumsaidie jaman
 
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Siku akija kufa ndio watu wanajifanya kushangaa na kuna na RIP CHID za kutosha sana
 
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Afu sijui kwann drug addicts huwa wanapatwa matatizo ya kuoza miguu, angalia mateja wote miguu yao inakuwaga ina shida hizo
 
Siku akija kufa ndio watu wanajifanya kushangaa na kuna na RIP CHID za kutosha sana
Yes inasikitisha Sana .

Ni sawa na alivyokuwa anaumwa Gardner wa clouds alianza kuumwa kitambo na bado wakawa wanamlazimisha aendelee na kipindi na sio matibabu kuna siku nilimkuta mliman City istanbull ile hali ilinifikirisha Sana.

Japo kifo hakiepukiki Ila kuna vifo ambavyo vinatokana na uzembe wa watu au MTU .
 
Afu sijui kwann drug addicts huwa wanapatwa matatizo ya kuoza miguu, angalia mateja wote miguu yao inakuwaga ina shida hizo
Ngoja tusuburi utaalamu kutoka Kwa madaktari wa JF.

Unachoongea kina ukweli ukipita pale Temeke hosptali Kwa nyuma utaona jinsi mateja wanavyoteseka na Miguu wengine hadi huwa inakatwa.
 
Mwanamziki Ray C alisaidiwa na Rais mstaafu Jakaya Kiwete, Prof J Mama sa100 akamsaidia, RC Chalamila ameanzisha mfuko wa kusaidia wasanii wakati wa changamoto ya ugonjwa.....wote hawa hawana msaada? Tusiangalie alipojikwaa, anahitaji msaada jamii imsaidie badala ya kusubiri hali tete na janga
 
Yes inasikitisha Sana .

Ni sawa na alivyokuwa anaumwa Gardner wa clouds alianza kuumwa kitambo na bado wakawa wanamlazimisha aendelee na kipindi na sio matibabu kuna siku nilimkuta mliman City istanbull ile hali ilinifikirisha Sana.

Japo kifo hakiepukiki Ila kuna vifo ambavyo vinatokana na uzembe wa watu au MTU .
 

Attachments

Kuna siku asubuhi kama saa moja hivi nilimuona maeneo ya manzese tiptop yuko na wahuni wahuni, na kweli mguu ule ni tatizo.

Ila kama yeye hajakubali kubadilika ni ngumu kumforce abadilike. Wala ngada wengi huanza kwa kukongongoroka miili, kua na vipara na matatizo ya miguu na akili.
 
L
Huyu kashakosea.. alitoka nje ya mstari na mm naamini alivyokua kwenye dira yake na michongo alisaidia watu. Alikula na kugawana na watu, aliwa-inspire wengine na alikuwa kioo na mfano. Leo hii mud wake umepita kama ilivyo na itakavyokuwa kwa wengine.

Watanzania tumpiganie, watu walijivunia sana uwepo wake enzi hiyo Chi chi chi chidy ben'gq
 
Back
Top Bottom