Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

Tatizo la
Huyu kashakosea.. alitoka nje ya mstari na mm naamini alivyokua kwenye dira yake na michongo alisaidia watu. Alikula na kugawana na watu, aliwa-inspire wengine na alikuwa kioo na mfano. Leo hii mud wake umepita kama ilivyo na itakavyokuwa kwa wengine.

Watanzania tumpiganie, watu walijivunia sana uwepo wake enzi hiyo Chi chi chi chidy ben'gq
Chid ni sikio la kufa alipelekwa rahabu Bagamoyo ili aache madawa alitoka kule kanawiri na mwili ulianza kuja matokeo kaludi kulekule mwenzie Rey C alivyoshikwa akashikika lakini sio Benzino
 
Juzi natoka katika show ya Friday night live ndo nimekaa na Chid Benz jamaa anaumwa Sana huo mguu unanuka hatari na mbaya zaidi jamaa anakaa amelewa 24/7 kutembea vizuri hawezi na akivaa kiatu ngozi inabaki ndani
Mpuz yule anauendekeza unga
Anataka abembelezwe mida wote
Anakaa msasani bonde la mpunga kwa kina said makamasi
Na wote mateja

Ova
 
Chid hayupo tayari kile kidonda kipone. Ameshafanya mtaji wa kumuingizia buku buku za ngada
Ujuaji mwingi ndio unamponza

Wanaotaka kumsaidia wampeleke hospital na sio kumpa pesa. Japo yeye hataki msaada huo, yeye anataka pesa then atajua cha kufanya

Wanaotaka kwenda kumuona kabla hajafa, Yupo pale ilala boma, kituo cha shule msingi kwenye zile kota ndio mitaa yake
 
Chid hayupo tayari kile kidonda kipone. Ameshafanya mtaji wa kumuingizia buku buku za ngada
Ujuaji mwingi ndio unamponza

Wanaotaka kumsaidia wampeleke hospital na sio kumpa pesa. Japo yeye hataki msaada huo, yeye anataka pesa then atajua cha kufanya

Wanaotaka kwenda kumuona kabla hajafa, Yupo pale ilala boma, kituo cha shule msingi kwenye zile kota ndio mitaa yake
Hivi zile show wanazokuwa wanafanya dstv mfano huwa wanalipwa bei gani??? vile vipindi wanahost kwamba huwa ni hela mbuzi haitoshi mtu kujipata hata kwa hela ya kukidhi mahitaji.
 
M
Kweli maisha usipojipanga yanakupanga. Chid huyu huyu kafika hapa. noma sana
Mkuu chid anashinda maeneo ya tip top bar kule zaid ya mara moja nishamuona nikaambiwa uwa anashinda ndani ya hiyo bar jamaa kachoka hata nguo kubadilisha ni mbinde yupo na crocs zake mguuni siku zote nazomuona ni yupo mtungi.
 
Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka.

Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake.

Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona.

Kama ilivyo watanzania huwa hatuna utamaduni wa kushughulikia tatizo likiwa katika hatua za awali .
Chid anajuana na watu wengi Sanaaaa na hata akienda kwa mtoto wa Dr.mvungi pale kinondoni B (kinondoni hospital) Mbona brother Lufunyo angemsaidia..

Hata kina mondi akiwafuata wata msaidia..akishindwa amfuate mwana FA nje ndani atasaidiwa..

Akishindwa kabisa amfuate MALISA tutafanya hata challenge pesa itapatikana ya kumtibia..chid anapendwa Sana na watu..
Tusije SEMA tuli mpenda akisha kufa.
 
Hamna cha utajiri wowote hapo jamaa anaumwa Ila ndo hivyo no body care.
Kuna jamaa nimemkuta nae ana hilo tatizo mbaya zaidi mguu haufungi kidonda kimechimba vibaya ingawa kuna mmoja nilishuhudia aliwahi tibiwa akapona kabisa akawa anatembea hivyo hivyo anakikanyagia kidonda yaan bonge la donda yeye alimegeka kisigino ila sasa hivi kapona na jamaa ni km kichaa hivi walijitoa wasamaria wema wakamfunga bandage na madawa ya hapa na pale hospitali sasa hivi kapona kabisa mzima kidonda kimefunga, narudia jamaa ni Chizi
 
Juzi natoka katika show ya Friday night live ndo nimekaa na Chid Benz jamaa anaumwa Sana huo mguu unanuka hatari na mbaya zaidi jamaa anakaa amelewa 24/7 kutembea vizuri hawezi na akivaa kiatu ngozi inabaki ndani
Ulikutana naye maeneo yapi? Huwa anakujaga msasani pale maandaz road maskani moja ya mateja nshakutana naye mara mbili asubuhi ..hali ya mguu ni mbaya kweli
 
Chid hayupo tayari kile kidonda kipone. Ameshafanya mtaji wa kumuingizia buku buku za ngada
Ujuaji mwingi ndio unamponza

Wanaotaka kumsaidia wampeleke hospital na sio kumpa pesa. Japo yeye hataki msaada huo, yeye anataka pesa then atajua cha kufanya

Wanaotaka kwenda kumuona kabla hajafa, Yupo pale ilala boma, kituo cha shule msingi kwenye zile kota ndio mitaa yake
Basi huyu jamaa ana maskani nyingi sana, me msasani ndo mamuonaga mara kwa mara
Kuna mdau hapo kasema yeye anamkutaga tiptop bar mazense
 
Nlishawai kutoa angalizo 👇🏻

 
Back
Top Bottom