wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Tatizo la
Chid ni sikio la kufa alipelekwa rahabu Bagamoyo ili aache madawa alitoka kule kanawiri na mwili ulianza kuja matokeo kaludi kulekule mwenzie Rey C alivyoshikwa akashikika lakini sio BenzinoHuyu kashakosea.. alitoka nje ya mstari na mm naamini alivyokua kwenye dira yake na michongo alisaidia watu. Alikula na kugawana na watu, aliwa-inspire wengine na alikuwa kioo na mfano. Leo hii mud wake umepita kama ilivyo na itakavyokuwa kwa wengine.
Watanzania tumpiganie, watu walijivunia sana uwepo wake enzi hiyo Chi chi chi chidy ben'gq